Recent content by Logbook

  1. Logbook

    Hivi Mungu aliwaza nini mpaka akaamua kututupia Ibilisi duniani!

    Na kama roho haifi, je, malaika pamoja na wadhambi wengine wanaanzaje kuchomwa moto, alafu wenyewe wametulia tu, wanakuangalia unavyowachoma?, Kama roho haiwezi kufa au kuuliwa basi hatutakiwi kusema hakuna kitu kisichomshinda Mungu. Kwasababu Mungu Hana uwezo wa kuiua au kuiangamiza roho
  2. Logbook

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Good news
  3. Logbook

    Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

    Me nataka kuacha kuangalia porno tu. Yan kila nikianza challenge hazizidi 5 days, lazima nizame kwenye incognito tab. Leo saa 6:00 usiku naanza upya kuhesabu, lazima nitoboe mwezi awamu hii
  4. Logbook

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Beating Brentford isn't for everybody
  5. Logbook

    Kwanini Mungu alikubali mwanae pekee afe ili tuokolewe na sio kumuua shetani aliye chanzo cha dhambi zote?

    Kwahiyo Mungu sahivi amekaa kwenye kiti chake cha enzi, huku akisubiria tumjue, tumheshimu, tumtukuze, alafu anafurahi anapoona tunamtanguliza Kwa Kila jambo??
  6. Logbook

    Kwanini Mungu alikubali mwanae pekee afe ili tuokolewe na sio kumuua shetani aliye chanzo cha dhambi zote?

    Swali la kizushi!! Ikiwa Mungu atataka kutelemsha kitabu chake kingine, kwa lengo la kuwaunganisha wanadamu wote dunia nzima, unadhani atatumia njia Gani kutushushia hicho kitabu? Je, inabidi tutumie vigezo Gani kuthibitisha kwamba hiki kitabu kimeshushwa na Mungu?
  7. Logbook

    Kutokomeza Panya road na Watoto wa mitaani, serikali ianzishe operation ya "Kamata jiunge JKT"!

    Mimi binafsi nimepita JKT, Kwa hoja yako mtoa mada, kazi watafanya lakini sio kufundishwa uzalendo jeshini. Jeshi litakufanya uwe tayari kupigana mda wowote unapohitajika ( ni issue ya kiisakolojia sio uzalendo),na inawezekana wakawa wavunjifu wa maadili (lugha za matusi), manunda, ubabe mtaan...
  8. Logbook

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mwambie akamuangalie Marquinhos
  9. Logbook

    Kwanini Mungu hakumuua Shetani? Kuna haja sasa ya kuwepo na Bibilia ya Shetani?

    Sasa mbona unasema wamepewa na shetani?
  10. Logbook

    Kwanini Mungu hakumuua Shetani? Kuna haja sasa ya kuwepo na Bibilia ya Shetani?

    Imani ya Mungu nimeamua kubaki nayo, ila naona kama Kuna mafundisho tunafichwa. Mimi falsasa yangu ni kwamba, tunaweza maisha ya utakatifu bila dini
  11. Logbook

    Kwanini Mungu hakumuua Shetani? Kuna haja sasa ya kuwepo na Bibilia ya Shetani?

    Siyo sayansi ya darasani, ukiamini Kuna Shetani basi ukubali kupunguza baadhi ya sifa za Mungu. Ni logic ya kawaida tu
Back
Top Bottom