Recent content by loban

  1. L

    Kama USSR isingesambaratika dunia ingekuwaje leo?

    Yet reality is stranger than facts,the world is one big puppet show.there are the puppeteers,the puppets and those who watch the show and believe it to be true.
  2. L

    Barua kutoka kwa mume wa Florah Mbasha kwenda kwa mchungaji Gwajima

    Hivi nyinyi mkishaokoka akili za kufanya reasoning ndo huwa mnazitupa kabisa.yani mtu achapiwe mkewe apewe na kesi ya ubakaji na achafuliwe magazetini alafu bado awe mpole?kisa huyo aliemfanyia hayo ni mtumishi wa mungu? Si ufa.l.a huo.kwani huyo mtumishi wa mungu sio binadamu.hebu weye ufanyiwe...
  3. L

    Hali ya Jack gerezani Macau siyo nzuri

    Sembe hyo mkuu .deile namwona akiwa kalanduka hajielewi kabisa fulu udenda hata kutembea kwa shida,huyu inaonekana hali kabisa
  4. L

    Mgombea Urais wa CCM 2015 aweza kuwa Dr. Mohamed Shein kutoka Zanzibar

    We ishia hapo hapo tunataka rais hendsam,hata akienda kutembeza bakuli ulaya kuomba msaada wazungu walainike.asa wasira si atatufukuzia wahisani wetu.
  5. L

    Njia rahisi ya ku-root smartphone yoyote

    Hehehe wajinga waliokula hela ama alieliwa hela,tehteh swali zuri
  6. L

    "Mtego" wa teknolojia

    Teknology inaenda ikikua jamani pamoja na kwamba ni kweli wanatuibia lakini pia wanafanya kazi kubwa ili kuweza kutushawishi.hata magari kila mwaka wanatoa modeli mpyaa
  7. L

    Hawa ndio washindi wa tuzo za watu

    Uzee namba tu hata kene kalkyuleta zipo,we jamaa anauzee gani huyo,kikwete mwenyewe anajiita kijana
  8. L

    Msaada wa biashara gani nifanye

    Alaa kumbe,sasa si nibora angetumia account nyengine
  9. L

    To unlock,sign in with your google account [Nina hangaika hivo muonavo]

    Ikishindikana huna haja ya kuipeleka kwa fundi ukaliwa hela yako ni bora uiformat mwenyewe tu nimekutumia link ya jinsi ya kuformat ila hujasema ni galaxy duos ipi maana duos zipo nyingi so nime assume itakuwa s duos ingia hapa kwenye link upate maelekezo...
  10. L

    To unlock,sign in with your google account [Nina hangaika hivo muonavo]

    Hakikisha simu yako ipo connected to the internet ndo u log in kwa hyo acount yako ya gmail ulioitumia kusajilia play store.kwahyo kama kabla haikajiloki ilikuwa intanet connection ipo on na line yako ina vocha bas itakubali tu
  11. L

    Unajua unamiliki nini kati ya asset au liability?

    Kauli za kimaskini hizo.hata mitume wa mwenyezi mungu walikuwa wanatafuta rizki na kufanya biashara.na wala hujaambiwa utumie muda wako wote kutafuta pesa na mali.na hakuna dini inayotukuza umaskini.hivi wote mkiwa maskini hizo zaka zitatolewa na nani
  12. L

    Majigambo Ya Nay Wa Mitego!!

    Heheh dah hii kali heheh hardcore taarab
  13. L

    China to build its own Manahattan

    Vyombo vya habari bana yan kunavitu ukisoma kama hujawahi jionea mwenyewe unaamini asilimia mia.huo mji ndo kwanza unajengwa sasa unatagemea uchangamke tu haraka kiasi hicho.huku kuna miji kibao mizuri pengine kuliko hata miji ya marekani.kuna hong kong one of the best cities in the world,kuna...
  14. L

    Hali ya Jack gerezani Macau siyo nzuri

    Serikali ya tanzania ingekuwa inasheria kali kama za china pengine matatizo ya madawa yangepungua sana.huyu ni mmoja wa waathirika wa madawa ya kulevya hapa china.nlimkuta amekaa pembeni ya barabara hapa kitongoji cha xiaobei mjini guangzhou.kama mnavyomuona ameisha kabisa na kubaki mifupa...
  15. L

    Msaada wa biashara gani nifanye

    Mie mtu akiniuliza swali hilo huwa nampa jibu fupi sana lakini lenye maana kubwa. Ukitaka kufanya biashara yenye mafanikio "fanya kile ambacho unamapenzi nacho na una ujuzi nacho" the end. Mfano mie namapenzi makubwa na ninauelewa mzuri na electronics so nmeamua kufanya biashara ya kuuza...
Back
Top Bottom