Kule juu ukifikiria sana kosa halikua kwa demu kosa lilikua kwako kwa kua masikini kiasi cha kuacha mpenzi wako kusumbuliwa na meneja wake na ndiyo maana alikua anakubali ili asipoteze kazi na yote haya ni wewe kuwa masikini huu ni ukweli mchungu sana kwako. Pia tambua kuwa mpenzi wako alikua...
Huyo ni mwanaume mpumbavu sana kuwahi kutokea.. angedeal na mke aachane na mtoto asiye na hatia.. wewe fikiria ile childhood akiwa na furaha na tabasamu alafu unampitishia kisu shingoni pasi na yeye kuwa na uwezo wa kujitete.. na ya mkini alivyo mshikia kisu alitabasamu pia akijua ni michezo ya...
Mimi naishi uchumba sugu kama ndege ila sijaoa mkuu.... Kila siku nakua mgeni sikamilishi ile wanaita masaa 24 siku 7 za week ndani ya mwaka mmoja mzima ili ndoa iwe halali hata kama haijafungwa.. na miss na kudesapear.
Hii ndo mbinu peke ya kuwawin hawa viumbe
Ndoa ni gereza la kiraiani kwa mwanaume ila kamwe usiishi bila mwanamke.... Sijasema ufunge ndoa na ikikubidi hakikisha una cheza na uchumba sugu ila baadhi ya siku uwe una miss/desapear ili isiwe ndoa halali
Ndugu zangu..
Uzi huu ni maalumu kwaajili ya kuelezea kero unazokumbana nazo kutoka kwa watoto waliozaliwa mwaka 2000 na kuendelea ,pia unatoa fursa ya kuweka maoni yako ni nini hasa kifanyike kuokoa kizazi hiki maarufu kama kizazi cha buku mbili ili kirudi kwenye maadili sahihi ukizingatia...
Nakumbuka ndani ya NO FAP challenge sikumaliza hata mwezi nilioa kabisa japo nilikua kataa ndoa..
Nb. Vijana oeni hata kama wanawake wanazingua sana , wewe oa tuu Mungu atakupigania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.