Recent content by Loading failed

  1. Loading failed

    JamiiForums Tanzania Ramani nzuri ya nyumba

    Ndugu habari.. Angalieni hii ramani alafu mtoe maoni yenu ni nini cha kuboresha wakubwa
  2. Loading failed

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kufanya makadirio ya gharama za ujenzi wa nyumba

    Hesabu kama hii ukiwa na fundi anaenda kukuloga
  3. Loading failed

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake wengi hupenda kufunga macho wakati wa kufanya mapenzi?

    Hakuna mwanamke anaependa kufanywa
  4. Loading failed

    JamiiForums Tanzania Mke wangu hana hamu ya kufanya mapenzi na mimi. Nifanyeje?

    Huyo siyo wako tena funguka akili kaka
  5. Loading failed

    JamiiForums Tanzania Mnaoishi na wakwe zenu mtupe siri ya urembo

    Tuliambiwa ukioa tuachane na wazazi tuambatane na mke ila ni sisi wanaume ndiyo tunakaza kichwa... Mwanaume /kijana ukiolea kwa wazazi hutaka uwe na mamlaka kamili kama bado unanizamu zile ulizofunzwa utotoni na siku mkiondoka hapo mkeo atakukalia sana kichwani
  6. Loading failed

    JamiiForums Tanzania Mwanaume ukitaka kuishi na mwanamke kwa amani, mnafikie

    Ndugu.. Kama unataka amani ukiwa na hawa viumbe hakikisha unakua mnafiki kwao. Wewe kua mnafiki tuu utatoboa
  7. Loading failed

    JamiiForums Tanzania Wanaume mna shida gani? Unamuheshimu mtu, anakuja kukutongoza

    Wanaume wengi tuliooa wake zetu walikua wanatuita kaka
  8. Loading failed

    JamiiForums Tanzania Kumbe mpenzi wangu anajiuza

    Kama una muhudumia akiwa bado kwa baba yake anajiuza
  9. Loading failed

    JamiiForums Tanzania Pongezi kwenu Single Mothers

    Bila shaka wewe ni mke mwenza ni vile bado hujatambulishwa
  10. Loading failed

    JamiiForums Tanzania "Baada ya kumaliza chuo 2019 nakusota bila ajira mwaka huu nikaona nitumie cheti cha JKT kuomba ajira ya ulinzi Suma JKT.

    Kama bado ni mlinzi acha ujinga nenda GardaWorld Security hakikisha unapewa ule mkataba mkubwa . Watu wanafunga hadi 520 kwa mwezi na wanalala off duty . Na kama akili ipo vizuri ficha hivyo vyeti chini ya godoro, chukua night shift maana watoto wa mama hawazitaki linda usiku tuu kaka mchana...
  11. Loading failed

    JamiiForums Tanzania Natatuaje hili tatizo la kuverify cheti cha CSE ajira portal

    Ni siku na masaa kadhaa sasa hii changamoto bado inaendea sana na nimejaribu kuwatumia email ila bado hakuna majibu kabisa.. Wenye uzoefu ukitaka kuverify cheti cha form four unatokaje hapa kama utakumbana na mkasa huu.. angalia pichani.
  12. Loading failed

    JamiiForums Tanzania Methali gani unaona imepitwa na wakati?

    Haraka haraka haina baraka Subira ya vuta heri Simba mwenda pole ndiye mla nyama Sasa wewe jifanye hauna haraka na maisha au unafanya vitu polepole uine kama haijala kwako
  13. Loading failed

    JamiiForums Tanzania Nina swali kwa wadada, watoto msifungue uzi tafadhari

    Kule kwenye kile kijitabu cha sura, sura kitabu.. niliona wadada wakitoa vilio kuwa wanaumia sana kwa sababu naniliuuu inakua juu zaidi kuliko isivyo kawaida na nikama mwanaume anamtwangio imara.. ila kama mwanaume ni mbabaishaji hawaumii wala hawasikii chochote zaidi ya kuweka tundu lingine rehani
  14. Loading failed

    JamiiForums Tanzania 18+ Video za ubwabwa hazina uhalisia wowote

    Ndugu zangu... Onyo kama siyo 18+ haikuhusu. Katika hali isiyo ya kawaida zile video za zinazochochea watu kutunguana au kujitungua mpaka kufika mlima kilimanjaro, nimegundua hazina uhalisia wowote ule zaidi ya wanadamu kujiangamiza wenyewe kisaikolojia na kihisia kuhusu swala zima la...
Back
Top Bottom