Recent content by Loading failed

  1. Loading failed

    Dini ndiyo 'Software' (KIRUSI) namba moja inayo-Program Waafrika kuwa Masikini wa kutupwa kizazi hadi kizazi

    Shida siyo dini . Shida kubwa sana ni imani na elimu wanayopewa
  2. Loading failed

    Daah Roho yangu inaniuma Maumivu ni makali sana naombeni msaada

    Kule juu ukifikiria sana kosa halikua kwa demu kosa lilikua kwako kwa kua masikini kiasi cha kuacha mpenzi wako kusumbuliwa na meneja wake na ndiyo maana alikua anakubali ili asipoteze kazi na yote haya ni wewe kuwa masikini huu ni ukweli mchungu sana kwako. Pia tambua kuwa mpenzi wako alikua...
  3. Loading failed

    Kataa ndoa tunakemea ufungaji wa ndoa, kipindi hiki kikali cha talaka na mgawanyo wa mali

    Mwanaume bila kuwa ndege ndani ya nyumba bado hujawa mwanaume
  4. Loading failed

    Kataa ndoa tunakemea ufungaji wa ndoa, kipindi hiki kikali cha talaka na mgawanyo wa mali

    Kuua ni jambo jepesi kama hauna akili ya mlango wa pili.. Ni amini mimi
  5. Loading failed

    Kataa ndoa tunakemea ufungaji wa ndoa, kipindi hiki kikali cha talaka na mgawanyo wa mali

    Huyo ni mwanaume mpumbavu sana kuwahi kutokea.. angedeal na mke aachane na mtoto asiye na hatia.. wewe fikiria ile childhood akiwa na furaha na tabasamu alafu unampitishia kisu shingoni pasi na yeye kuwa na uwezo wa kujitete.. na ya mkini alivyo mshikia kisu alitabasamu pia akijua ni michezo ya...
  6. Loading failed

    Kataa ndoa tunakemea ufungaji wa ndoa, kipindi hiki kikali cha talaka na mgawanyo wa mali

    Mimi naishi uchumba sugu kama ndege ila sijaoa mkuu.... Kila siku nakua mgeni sikamilishi ile wanaita masaa 24 siku 7 za week ndani ya mwaka mmoja mzima ili ndoa iwe halali hata kama haijafungwa.. na miss na kudesapear. Hii ndo mbinu peke ya kuwawin hawa viumbe
  7. Loading failed

    Kataa ndoa tunakemea ufungaji wa ndoa, kipindi hiki kikali cha talaka na mgawanyo wa mali

    Ndoa ni gereza la kiraiani kwa mwanaume ila kamwe usiishi bila mwanamke.... Sijasema ufunge ndoa na ikikubidi hakikisha una cheza na uchumba sugu ila baadhi ya siku uwe una miss/desapear ili isiwe ndoa halali
  8. Loading failed

    Tabia za baadhi ya wanawake kutaka wapewe pesa na zawadi zinawafanya wanaume weengi kuamini kuwa tendo la ndoa halina umuhimu kwa mwanamke

    Mwanamke akiwa hakupendi atataka ulipe gharama za uchafuzi.. katika saikolojia yao wanasema "" kukukomoa""
  9. Loading failed

    Msiogope kudai zawadi mlizopeana wakati wa uchumba, penzi likiwa la moto. Sheria ipo na inafanya kazi

    Vipi wale waliosomesha mademu zao na kujenga kwao kama zawadi ya uchumba na mihadi ya kuoana sheria inawaweka upande gani..
  10. Loading failed

    Uzi maalumu : Elezea kero unazo kumbana nazo / maoni yako kwa watoto walio zaliwa mwaka 2000 na kuendelea

    Ndugu zangu.. Uzi huu ni maalumu kwaajili ya kuelezea kero unazokumbana nazo kutoka kwa watoto waliozaliwa mwaka 2000 na kuendelea ,pia unatoa fursa ya kuweka maoni yako ni nini hasa kifanyike kuokoa kizazi hiki maarufu kama kizazi cha buku mbili ili kirudi kwenye maadili sahihi ukizingatia...
  11. Loading failed

    Habari njema kwa wapiga nyeto! Utafiti mpya wa Chuo cha Oxford wabainisha umuhimu wa nyeto

    Nakumbuka ndani ya NO FAP challenge sikumaliza hata mwezi nilioa kabisa japo nilikua kataa ndoa.. Nb. Vijana oeni hata kama wanawake wanazingua sana , wewe oa tuu Mungu atakupigania
  12. Loading failed

    Mambo madogo madogo ambayo huimarisha upendo kwa wanandoa

    Ila kunyonya ndimi iliyoganda kiporo cha ugali marage na bamia zenye mavitunguu swaumu ni usafi
  13. Loading failed

    Mambo madogo madogo ambayo huimarisha upendo kwa wanandoa

    Watu wanakataa kupiga mswaki mmoja ili hali wananyonyana ndimi mpaka kamasi lililo kwama kwenye koo linapanda na analimeza kama vichaa
Back
Top Bottom