Mwanamke hajaumbwa kupenda mwanaume ameumbwa kutii na ili mwanamke akutii lazima uwe na mali zitakazomfanya maisha yake yawe mepesi (jumlisha na uume imara hapa) ... Ukiwa na mali utakua na mamlaka huwezi kuwa masikini ukataka mwanamke akutii hilo sahau.
Sasa unapotaka kuoa hakikisha kabisa...
Kuna mtu mmoja alisikika huko mitandaoni akisema kwenye video mjongeo maneno hayo aliyosasema kama inavyoonekana hapo chini...
Mama kauliza hapo wakuu.. tusaidiane kupata majibu mpaka imfikie mama
Cc. Mhe. Dkt Dorothy Gwajima . waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.