Recent content by llmg600

  1. L

    Droupouts wa vyuo tukutane hapa

    Mtu anaejiita dropout (mtoa maada), kwa anadai anakopesha hadi milioni 10 ( kama unavigezo ) Swali, je huo mtaji kautoa wapi?? Kwa hali ya uchumi wetu tz tuanaujua. Mtu mwenye capacity ya kukopesha 10M sio wa kawaida. Kwahyo uyu jamaa asidanganye tena watu wadrop out kma vile mtaani kuna fursa...
  2. L

    Droupouts wa vyuo tukutane hapa

    Sema wew tu ndo akili yko iliishia hapo, na ni bora uliacha kabisa.[emoji23][emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  3. L

    Droupouts wa vyuo tukutane hapa

    Its like unaamini kabisa ukidrop out unakua umekata tiket ya kupata pesa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], pole sana kaka. Na uache kupotosha watu. Shule ni nzuri kwa muda wake na utafutaji una muda wake pia. Wew sema ulidisco, au ulikua ada (eithe ulibet ikaliwa au ilitafunwa na...
  4. L

    Nikiuliza matumizi mbona anakuwa mkali

    [emoji117]Mama wa nyumbani (jobless) halaf bdo kuna mfanyakazi wa ndani! Sasa mke yeye anafanya kazi gana akiwa hapo nyumbani?? Nna mashaka mama itakua anaachia beki tatu familia halaf anaingia mtaani na harakati zngine za siri (????), Asisahau "An idle bran is devil's workshop"...
  5. L

    Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

    Mimi nasema hivi, hao wamarekani waje hata leo jioni, hao magaidi kama bdo wamejficha porini watokee kbisa hata kesho asubuhi. Huu ni ujinga, haiwezekani watu wanapotea, watu wanashambuliwa kwa SMG, risasi 20+, watu wanatekwa, wanateswa & no one cares, kama vile hii nchi ni ya watu fulani tu...
  6. L

    Mke wa mtu ameanza kuniita "MUME" mbele ya mashoga zake

    Hahaaaa!! "Kumbe maishani mwake hajawahi kukojozwa bao 3......... Kidume nkampeleka bao 4 mim sjakojoa ata moja" Noted mkuu,
  7. L

    Nimemtia mimba mzazi mwenzangu akiwa kwenye ndoa yake ya miaka 7. Nifanye nini?

    Chakufanya wewe ikatae. Sababu ata first place inabidi mwenye mke ndo awe 1st suspect wa kumiliki iyo mimba. Acha ijulikane hivo mpaka pale mtoto atakapozaliwa. Uskute ata mimba sio yako ni ya jamaa. Hapa inabidi usimchekee uyo mzazi mwenzio. Weka msimamo wako na mwambie nayeye awe strong. Mtoto...
  8. L

    Looking for outgoer

    Vichwa vingine bana! kma vile avina kitu ndani,
  9. L

    Kilimo cha bustani mwambao mwa ziwa victoria. (ushauri)

    Katika harakati zakatafuta maisha, nimepata idea ya kulima bustani/kilimo cha umwagiliaji kwa kutumia maji ya ziwa Victoria, ambayo nikiproove kwamba ipo katika uhalisia, naweza kuanza kuitekeleza kuanzia May 2020. Naomba kwa anaefahamu/alie na uzoefu/uenyeji ketika maeneo ya Chato na Sengerema...
  10. L

    Natafuta rafiki wa kike

    Hata mbuyu ulianza kama mchicha
  11. L

    Wakuu naombeni ushauri wenu

    Unafeli sana kaka. Kwamba mapenzi yameadimika kiasi hicho???? Au katika maisha yako hjawahi kuachana na dem?? Halaf ni mwanamke gani uyo asie na adabu, kwmba hata hataki kuskiliza utetezi wowote ktoka kwako!! Ukilazimisha kumuoa uyo mtu atakupeleka kwa waganga ili apate 100% ya kukucontral. Sisi...
  12. L

    Je, Mwanaume 'Kamili' na 'Rijali' ni wa aina gani?

    Akili yako ni kubwa sana. Unastahili kua profesor
  13. L

    Naomba mbinu za kuishi na mume bahili

    Comment yako inakera, Kwani, kwa Tz idadi ya familia zinazomiliki magari inafikia hata 5%??? Hapo utaona katka hali ya kawaida, kama familia inauwezo wa kumiliki gari, atleast haina njaa sana kama zile zinazoishi chini ya 1USD kwa siku. Kama umekulia dar unaona magari kila kona, Rudi kwenu...
  14. L

    Hivi, wanaume mnaposema kuwa wanawake wa siku hizi tunapenda usawa huwa mnamaanisha nini?

    Tangu nmeanza kuangalia movie sjawahi ona mwanaume ananepisha mtoto, au mwanaume anapika chakula cha nyumbani na wanawake wapo. Labda ni kwasabab mara nyngi hua naangalia movie za kivita ;
  15. L

    Hivi, wanaume mnaposema kuwa wanawake wa siku hizi tunapenda usawa huwa mnamaanisha nini?

    Nnauhakika sijakosea kitu. Baada ya kuumbwa vitu vyote ndipo aliumbwa mwanaume na akapewa mamlaka ya kuvitawala na kuvipa majina vyote. Baadae akaumbwa mwanamke kama msaidizi wake, na mwanamke pia alipewa jina na mwanaume. Hapo ilikua ni kabla ya maswala ya kula tunda. Na pia skusema mwanamke...
Back
Top Bottom