Mtu anaejiita dropout (mtoa maada), kwa anadai anakopesha hadi milioni 10 ( kama unavigezo )
Swali, je huo mtaji kautoa wapi??
Kwa hali ya uchumi wetu tz tuanaujua. Mtu mwenye capacity ya kukopesha 10M sio wa kawaida.
Kwahyo uyu jamaa asidanganye tena watu wadrop out kma vile mtaani kuna fursa...
Its like unaamini kabisa ukidrop out unakua umekata tiket ya kupata pesa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], pole sana kaka.
Na uache kupotosha watu. Shule ni nzuri kwa muda wake na utafutaji una muda wake pia.
Wew sema ulidisco, au ulikua ada (eithe ulibet ikaliwa au ilitafunwa na...
[emoji117]Mama wa nyumbani (jobless) halaf bdo kuna mfanyakazi wa ndani! Sasa mke yeye anafanya kazi gana akiwa hapo nyumbani?? Nna mashaka mama itakua anaachia beki tatu familia halaf anaingia mtaani na harakati zngine za siri (????), Asisahau "An idle bran is devil's workshop"...
Mimi nasema hivi, hao wamarekani waje hata leo jioni, hao magaidi kama bdo wamejficha porini watokee kbisa hata kesho asubuhi.
Huu ni ujinga, haiwezekani watu wanapotea, watu wanashambuliwa kwa SMG, risasi 20+, watu wanatekwa, wanateswa & no one cares, kama vile hii nchi ni ya watu fulani tu...
Chakufanya wewe ikatae. Sababu ata first place inabidi mwenye mke ndo awe 1st suspect wa kumiliki iyo mimba. Acha ijulikane hivo mpaka pale mtoto atakapozaliwa. Uskute ata mimba sio yako ni ya jamaa. Hapa inabidi usimchekee uyo mzazi mwenzio. Weka msimamo wako na mwambie nayeye awe strong. Mtoto...
Katika harakati zakatafuta maisha, nimepata idea ya kulima bustani/kilimo cha umwagiliaji kwa kutumia maji ya ziwa Victoria, ambayo nikiproove kwamba ipo katika uhalisia, naweza kuanza kuitekeleza kuanzia May 2020.
Naomba kwa anaefahamu/alie na uzoefu/uenyeji ketika maeneo ya Chato na Sengerema...
Unafeli sana kaka. Kwamba mapenzi yameadimika kiasi hicho???? Au katika maisha yako hjawahi kuachana na dem?? Halaf ni mwanamke gani uyo asie na adabu, kwmba hata hataki kuskiliza utetezi wowote ktoka kwako!! Ukilazimisha kumuoa uyo mtu atakupeleka kwa waganga ili apate 100% ya kukucontral. Sisi...
Comment yako inakera,
Kwani, kwa Tz idadi ya familia zinazomiliki magari inafikia hata 5%???
Hapo utaona katka hali ya kawaida, kama familia inauwezo wa kumiliki gari, atleast haina njaa sana kama zile zinazoishi chini ya 1USD kwa siku.
Kama umekulia dar unaona magari kila kona, Rudi kwenu...
Tangu nmeanza kuangalia movie sjawahi ona mwanaume ananepisha mtoto, au mwanaume anapika chakula cha nyumbani na wanawake wapo.
Labda ni kwasabab mara nyngi hua naangalia movie za kivita ;
Nnauhakika sijakosea kitu.
Baada ya kuumbwa vitu vyote ndipo aliumbwa mwanaume na akapewa mamlaka ya kuvitawala na kuvipa majina vyote.
Baadae akaumbwa mwanamke kama msaidizi wake, na mwanamke pia alipewa jina na mwanaume. Hapo ilikua ni kabla ya maswala ya kula tunda.
Na pia skusema mwanamke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.