Recent content by lkt

  1. L

    Bei ya mbao za kuezekea

    Ndo kusema hii text hamuioni? Yangekuwa mapenzi txt nyingi, nyie mmelogwa tayri
  2. L

    Wizara ya Afya Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mi maoni yangu kada ya udaktari imedominate wizara ya afya kimapato na kimuundo hata baadhi ya malipo sasa ni kama unyonyaji kwa kada nyingine ni muda mwafanya wizara ya afya kuleta usawa na mgawanyo sawa wa maslahi yanayozalishwa kwenye taasisi mbalimbali za afya Au kuruhusu autonomous kwenye...
  3. L

    Bei ya mbao za kuezekea

    Hi waheshimiwa Kwa mlio Mafinga trested timber 2x4 ni sh ngapi, 2x2 ni sh ngapi Na 1x6sh ngap 1x10 ni sh ngapi Naomba huo msaada mkuu ili nifanye maamuzi
  4. L

    Inauma sana jinsi hii taaluma inavyo dharauliwa

    Mkuu kada kama haina shekeli watu huidharau mkuu ila msife moyo, walimu mnaheshima sana shida hujaona jamii inavowavalue
  5. L

    DAWASA wamepatwa na nini?

    Mbez luis mkuu
  6. L

    DAWASA wamepatwa na nini?

    Kwa sasa maji hayana ratiba maalumu ila hapo mwanzo tuliaminishwa kuwa kwa sasa hapata kuwa na crises ya maji. Maeneo mbalimbali ya Mbezi maji ni ya shida sana, Serikali iko kimyaa, kinachoshabgaza hivi serikali za mitaa kazi yake nini kama watu wanateseka na maji wiki 3 bila maji watu...
  7. L

    SoC02 Kilimo cha parachichi ni fursa

    Ok mkuu nimekuelewa ila niko makini
  8. L

    Natafuta shamba la kulima parachichi

    Hi wakuu natafuta shamba la kulima parqchichi morogoro,iringa na njombe Kama mtu analoatumie namba hii 0784584871 Regards
  9. L

    SoC02 Kilimo cha parachichi ni fursa

    Mkuu naweza kupata mashamba ya parachichi pia namba zako za kwangu ni 0784584871
  10. L

    Nimeamua tushirikishane kuhusu Biashara ya Mkaa

    Mkuu naweza kupata ushauri namna ya kupata kibali cha kusafirisha mkaa?
  11. L

    Kafulila: UNDP imetoa orodha ya nchi 54 duniani zilizoelemewa na deni la Taifa. 25 zinatoka Afrika Tanzania haipo, tukope zaidi tujenge Uchumi zaidi

    Zilikopa ili zifanye nn trillion 90+ tangu uhuru ebu ainisha vipau mbele vilivyotekelezwa Nyerere tuliona maendelea viwanda, program ya azimio la arusha kuwezesha siasa ya ujamaa na kujitegemea Awamu nyingine nn umeona barabara na fly over, maji shida, umeme shida mishahara kwa watumishi...
  12. L

    Gesi dhidi ya Mkaa, wewe ungenunua nini?

    Pressure cooker ndo kitu gani, mi naongelea in terms of unafuu kati ya ges na mkaa, ila maoni yenu wadau nayapokea
  13. L

    Gesi dhidi ya Mkaa, wewe ungenunua nini?

    Mi na mfanyajazi naangalia bajeti tu ya bei sii time tena
  14. L

    Gesi dhidi ya Mkaa, wewe ungenunua nini?

    Habari wakuu tupeane ufahamu kidogo Mi jwangu natumia mkaa wa 1500 kwa shughuli zote hapa kupika usiku na mchana, kuchemsha maji, uji wa watoto Gas ya 57,000 na nauli ya 2000 kuifikisha nyumbani jumla 59 000, hii inachukua wiki 4 kasoro kama siku 3 na wakati huo nikiongezea na mkaa kwenye...
  15. L

    Gesi dhidi ya Mkaa, wewe ungenunua nini?

    Wakuu mi kwangu mkaa wa 1500 kwa siku ya natosha kupika, kuchemshia maji ya kunywa na mapishi kwa siku nzima halafu ges ambayo huwa natumia hii ya 30kg inamaliza wki 3 na sehemu na inauzwa 58,000, transport 2000 jumla 59,000 Sasa wakuu mkaa 1500x31= 46,500/=TZS vs 59,000 ungekuwa wewe ungenunua...
Back
Top Bottom