Gesi dhidi ya Mkaa, wewe ungenunua nini?

Gesi dhidi ya Mkaa, wewe ungenunua nini?

Gesi inasaidia kurahisisha katika kuokoa muda, mkaa unahitaji maandalizi katika kuuwasha. Sasa time is money mkaa una gharama zaidi ya Gasi
Na ukimaliza mapishu kabla mkaa haujaisha ni kero nna ta kuuhifadhi
 
Pamoja na kwamba hesabu yako ya gesi ilitakiwa kuwa Tsh. 60,000/=
Kuna mambo ambayo ukizingatia, bado gesi ina nafuu.

A: GESI
1: Gharama: hutegemea na mtumiaji.

Matumizi ya gesi: kuhakikisha wanaotumia wanaelewa kuwa moto wa gesi unaotakiwa kuwaka ni bluu, na si njano. Wengi hutegemea ile sauti ya uwakaji na kufungua kwa kiasi kikubwa ili kujiridhisha kisaikolojia kumbe gesi nyigi kwa wakati huo inatoka bila kuungua vyema na hivyo kunakuwa na poor heat. Ukifanya hivyo utaona unaitumia kwa muda mrefu na utashangaa.

2: Time factor for cooking: nzuri

3: Usafi: mzuri

4: Utunzaji mazingira: nzuri

5: Material ya kuwashia: nzuri

6: Material kusafishia vifaa: nzuri

B: MKAA
1: Gharama: inategemea ulipo na matumizi kama kwa gesi.

2: Usafi: chini ya gesi

3: Time factor: zaidi ya gesi

4: Utunzaji mazingira: mbaya kuliko gesi

5: Material ya kuwashia: juu zaidi ya gesi

6: Material kusafishia vifaa: juu zaidi ya gesi
Mkuu gas inabidi kufungua Hadi mwisho au kiwango Cha Kati??
 
Pamoja na kwamba hesabu yako ya gesi ilitakiwa kuwa Tsh. 60,000/=
Kuna mambo ambayo ukizingatia, bado gesi ina nafuu.

A: GESI
1: Gharama: hutegemea na mtumiaji.

Matumizi ya gesi: kuhakikisha wanaotumia wanaelewa kuwa moto wa gesi unaotakiwa kuwaka ni bluu, na si njano. Wengi hutegemea ile sauti ya uwakaji na kufungua kwa kiasi kikubwa ili kujiridhisha kisaikolojia kumbe gesi nyigi kwa wakati huo inatoka bila kuungua vyema na hivyo kunakuwa na poor heat. Ukifanya hivyo utaona unaitumia kwa muda mrefu na utashangaa.

2: Time factor for cooking: nzuri

3: Usafi: mzuri

4: Utunzaji mazingira: nzuri

5: Material ya kuwashia: nzuri

6: Material kusafishia vifaa: nzuri

B: MKAA
1: Gharama: inategemea ulipo na matumizi kama kwa gesi.

2: Usafi: chini ya gesi

3: Time factor: zaidi ya gesi

4: Utunzaji mazingira: mbaya kuliko gesi

5: Material ya kuwashia: juu zaidi ya gesi

6: Material kusafishia vifaa: juu zaidi ya gesi

NB: Tujaribu kujifunza pia, kwa vitu vya kuchemsha kama nyama etc. Kuchemshwa kwa wakati mmoja na jioni kuwa ni kuunha tu. Kutokana na urahisi wa gesi, unaweza kukuta mtu anachemsha asubuhi na jioni.

Pia ishu ya maharage kulowekwa kwanza kama ilivyoshauriwa na wadau hapo juu.
[emoji817]
 
Mkuu gas inabidi kufungua Hadi mwisho au kiwango Cha Kati??
Kinachokuongoza ni rangi ya moto, moto uwe ni bluu kwa kiasi kikubwa. Ukiwa njano unapoteza gesi haiungui vizuri kwa sababu ya oksijeni to fluel ratio.

Kumbuka principle ya BUNSEN BURNER. Hewa ya oxygen, gesi yako na heet.

Too much gesi then, no proper combustion and no proper heat.
 
Wakuu mi kwangu mkaa wa 1500 kwa siku ya natosha kupika, kuchemshia maji ya kunywa na mapishi kwa siku nzima halafu ges ambayo huwa natumia hii ya 30kg inamaliza wki 3 na sehemu na inauzwa 58,000, transport 2000 jumla 59,000

Sasa wakuu mkaa 1500x31= 46,500/=TZS vs 59,000 ungekuwa wewe ungenunua gesi kweli?

Swali la pili ni kweli serikali hii ina mkakati madhubuti wa kupambana na mazingira?
Hiyo ni kilo 15 na siyo kilo 30.
 
  • Thanks
Reactions: lkt
Wakuu mi kwangu mkaa wa 1500 kwa siku ya natosha kupika, kuchemshia maji ya kunywa na mapishi kwa siku nzima halafu ges ambayo huwa natumia hii ya 30kg inamaliza wki 3 na sehemu na inauzwa 58,000, transport 2000 jumla 59,000

Sasa wakuu mkaa 1500x31= 46,500/=TZS vs 59,000 ungekuwa wewe ungenunua gesi kweli?

Swali la pili ni kweli serikali hii ina mkakati madhubuti wa kupambana na mazingira?
Achana na mambo ya kuisubiri serikali ukuletee wepesi wa nishati hasa kipindi hiki cha Waziri makamba mwenye maneno mengi vitendo kidogo.

Ni hiv,Gesi ni nzuri kabisa,chakula kinaiva haraka na unacontrol matumizi.mkaa ukimaliza kupika unakuwa umeshaharibika.ingawa pia siyo lazima ununue kilo 15,unaweza kununua ile mitungi kidogo.cha msing na kikubwa ukitumia gesi unaepukana na magonjwa ya moshi.hata hivyo mkaa ni ghali sana.Ijapo sijaweza acha mkaa kwa 100%,ila lengo ni kuacha kabisa mkaa.naonaga mkaa ni uchafu uchafu hivi. majivu mikaa yenyewe inamavumbi ambayo ni hatari sana kwa afya zetu
 
  • Thanks
Reactions: lkt
Mleta mada fanya hesabu zako vizuri. Gesi gani unatumia muda mfupi hivyo na hauna familia? Sisi wenye familia kuna muda tunatumia mtungi mkubwa hadi tunasahau.

Gesi ni bora zaidi, Kama una ka uwezo nunua gesi, jibane bane nunua pressure cooker kwaajili ya maharage, makande, nyama etc.

Kinachofanya watu wang'ang'ane na mkaa si unafuu bali ni upatikanaji wa hela, Watz wengi wanafanya vibarua na wanalipwa kwa siku, bajeti ya siku inaanza baada ya hela kupatikana siku hiyo, ndio mambo ya mkaa wa 1500 yanaanzia hapo.

Lakini kama mtu unapata pesa ya mara moja gesi is cheap.
 
Mleta mada fanya hesabu zako vizuri. Gesi gani unatumia muda mfupi hivyo na hauna familia? Sisi wenye familia kuna muda tunatumia mtungi mkubwa hadi tunasahau.

Gesi ni bora zaidi, Kama una ka uwezo nunua gesi, jibane bane nunua pressure cooker kwaajili ya maharage, makande, nyama etc.

Kinachofanya watu wang'ang'ane na mkaa si unafuu bali ni upatikanaji wa hela, Watz wengi wanafanya vibarua na wanalipwa kwa siku, bajeti ya siku inaanza baada ya hela kupatina siku hiyo, ndio mambo ya mkaa wa 1500 yanaanzia hapo.

Lakini kama mtu unapata pesa ya mara moja gesi is cheap.
Pressure cooker ndo kitu gani, mi naongelea in terms of unafuu kati ya ges na mkaa, ila maoni yenu wadau nayapokea
 
Pressure cooker ndo kitu gani, mi naongelea in terms of unafuu kati ya ges na mkaa, ila maoni yenu wadau nayapokea
Kifaa cha umeme kama lisufuria, linasaidia kupika vitu vigumu kwa haraka. Yapo kuanzia elfu 50 hadi 150k na kuendelea. Inasaidia na kurahisisha maisha.
 
Wakuu mi kwangu mkaa wa 1500 kwa siku ya natosha kupika, kuchemshia maji ya kunywa na mapishi kwa siku nzima halafu ges ambayo huwa natumia hii ya 30kg inamaliza wki 3 na sehemu na inauzwa 58,000, transport 2000 jumla 59,000

Sasa wakuu mkaa 1500x31= 46,500/=TZS vs 59,000 ungekuwa wewe ungenunua gesi kweli?

Swali la pili ni kweli serikali hii ina mkakati madhubuti wa kupambana na mazingira?
Nunua pressure cooker kwa ajili ya vitu vigumu, nunua mitungi miwili mmoja kwa ajili ya backup gas ikikata ghafla ukiwa unapika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UKIHITAJI CHAI, BASI UNA WASHA MKAA UNA CHEMSHA.
MKAA UNAO BAKI UNA ZIMA, 😂
HALAFU KUNA MKAA AMBAO SIO MZURI.

GESI NI BORA ZAIDI
 
Hiyo hela kidogo unayobania kwa kununua mkaa utalipa kwenye:
1. Sabuni za kunawia mauchafu ya mkaa.

2. Rangi ya kupaka store yako ikishakuwa nyeusi Kwa sababu ya mkaa.

3. Maji ya ziada unayotumia kunawanawa Kwa kuwa mkaa umechafua mikono yako na maji ya dada kufulia manguo yake yaliyochafuka Kwa mkaa.

4. Still wires za kusugulia masizi sugu ya mkaa.

5. Hela utakazokosa Kwa kupoteza muda kusubiri chakula kinachopikwa na mkaa.

6. Maji utakayonunua baada ya mvua kushindwa kunyesha Kwa kuwa mmekata miti ili mchomee mkaa.
N.K
[emoji16]

Be responsible; Tumia gas achana na mkaa.
 
Back
Top Bottom