ww ndio una laana. Unadhani watu wenye akili wanajibu hivo? Yeye ametoa tuhuma. Kinachofuta ni kufikir na kufuatilia. Sasa we unaanza kushambulia kada🤣🤣🤣. ww kada gani kwan?! Acha ushamba
Kwahiyo kitendo cha wao kufokuwemo ni furaha kwako? Acha chuki wivu na umasikini wa kufikiri. Et hawana utalaamu? Utalaamu gani? Nani mtaalamu sasa wa dira ya taifa unaemjua? Kuwa kiongozi wa dini unadhan sifa ni kuwa mtoto wa kiongozi au kujuana? Hapo watu wote wana fani na wao ndio wanakaa na...
Swala kubwa hapa ni mfumo wa elimu kwanza heshima ya elimu imeshuka ndio maana mtu anajisifu bungeni kuwa hajasoma na hii imetokana na mfumo at nasikia kwamba leo diploma au degree holder ni mkuu wa shule halafu master holder ni mwl wa kawaida kisa huyu ni chawa huyu haeleweki chama chake ila...
Ila serikali bana hata juzi niliona uzi watumishi wanasema hata uhamisho hawajalipwa lakn majukwaani 😂😂😂 sasa tangu 1999 leo unampa 2023 na unajisifu!!!!
Ulita aanzeje kutukana? Kwan kweli Raisi hakufanya hayo? Kuna sehemu amedanganya? Halafu unamwambia shem on you badala umuelekeze kwa hiyo sheria aelewe? Tulia kidogo ndg yangu utafakari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.