Unaanza kwa ku-like posts zake hata kama anaongea pumba, then unakuwa unajibu post zake kwa kumsifia, then unahamia PM, huko sasa unajiachia. All the best..., na mrejesho ulete hapa hapa
Walioathirika yatari PEP Kits haziwezi kuwasaidia coz tayari wadudu wameshasambaa mwilini. PEP kits zinafanya kazi kuzuia wadudu wasisambae na ndio maana mtu anatakiwa kuanza dose yake haraka sana mara tu anapohisi amejiexpose kwenye kwenye maambuziki ya vijidudu vya ukimwi kwa namna moja ama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.