Nashkur mkuu kwa majib yko...nitayafnyia kaz kingine mkuu naomba kuuliza ivi kma ukipospond mwka kuna haja ya kwenda chuo ulichopangiwa kutoa taarfa ctll ujapata mkopo na kma ucpoenda kuna effect inatokea katka kuaapply upya msaada wko mkuu
Mkuu matokeo yng kiujumla ni Chem C,biosC,phzD,engD,math D kwa olevel na nmemaliza form. Four 2011 nnmpngo wa kuapply clinical officer kwa vyuo vya serial VP mkuu kuna probably ya kupta na unanixhaur nn coz naipnda sana sekta ya afya...msaada wako mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.