Recent content by Little Dreamer

  1. L

    Hali ilivyo kituo cha Mwendokasi Kimara Korogwe, wengine waghairi na kutoka nje ya kituo

    Mkuu inaonekana una duka la pikipiki unataka watu wakuungishe😂
  2. L

    Mabasi ya Allys Star na Katarama Express yapigwa 'Stop' kusafiri usiku

    Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza😂, halafu katika watu ambao hutakiwi kuwasifia kwa ustaarabu ni watu wa mabus coz wanaweza kukushangaza anytime
  3. L

    Mchekeshaji bora Tanzania kwa sasa

    Joti na stand up comedy wapi na wapi?
  4. L

    Mchekeshaji bora Tanzania kwa sasa

    Au kamfananisha😂
  5. L

    Biashara ya Restaurant/ Mgahawa Kahama

    😂😂😂Hakuna sehemu watu wasipokula kweli, kikubwa ahakikisge huduma zake ziko vizuri na usafi
  6. L

    Ni mambo gani ambayo ukifanya kwa kutumia pesa yako nafsi yako hupatwa na furaha sana na amani?

    Nikitoa pesa kwa ajili ya kumnunulua kitu mzazi wangu najiskia amani sana
  7. L

    Mabasi ya Allys Star na Katarama Express yapigwa 'Stop' kusafiri usiku

    Happy Nation mwendo wa kobe?!!! Mkuu ushawahi iona hata happy Nation kweli? Hii Happy Nation ni onatembea balaa tena hii wiki nzima alikuwa anawwpita Ally's na Katarama gepu kubwa tuu sijui kaponaje
  8. L

    Mabasi ya Allys Star na Katarama Express yapigwa 'Stop' kusafiri usiku

    Hizo zinazoenda mwendo wa kobe ndo mbaya sasa usijidanganye eti ni salama coz unakuta service yake yenyewe sio ya uhakika, dereva posho analipwa kidogo amejaa stress, mnakaa masaa mengi barabarani mwisho dereva anachoka maana siku nzima yuko road
  9. L

    Nahitaji kupungua Mwili/ Kilo. Naumia sana

    😂😂😂Haya majibu nilikuwa nayatafuta🤣🤣
  10. L

    Nahitaji kupungua Mwili/ Kilo. Naumia sana

    Nikiwa na miaka 10++ nilikuwa mnene sana ila baada ya kuingia boarding nilipungua sana.. kilichonikuta ni limit ya chakula nilichokuwa nakula, maana asubuhi ni uji mkavu, mchana ugali na haushibi, usiku ni ugali na haushibi kivile (wale tulosoma shule za katoliki maharage kama Karanga)...
Back
Top Bottom