Wadau nawashukuru sana kwa hii mada maana imezidi nifungua kumbe hata lile dona ninalokula sio salama!! sasa mnapokuja na miswada kama hii mje na solution ikiwa ni kulaumu hakusaidii kitu wala wao kubadilisha msimamo wao.. kutoka hapa tufanye nn kujiepusha na huu mtego..
Kwa hiyo ulitaka waachiwe hadi waingie Ikulu wakati mwenyeji wao hayupo nani angewapokea.. sasa nikimuona kila muislamu siwatofautishi na hao walioandamana MNAHITAJI ELIMU HATA KWA LAZIMA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.