Recent content by Lions Share

  1. L

    Ndege ya mizigo Boeing 767-300F ilibadilishwa jina kutoka “Hapa KaziTu" kwenda "Kazi Iendelee”

    Si dhani kama Kuna tatizo?Hakuna mtu kati yao alietoa pesa zake mfukoni kununua hiyo ndege hata wangeandika “The Tommorow People” bado Kusingekua na tatizo. Ndege ni mali ya Watanzania sio ya mtu binafsi
  2. L

    Nimepewe urithi wangu mapema, nimechanganyikiwa

    Duniani hakuna karata ya Mwisho kuna kuanguka Kwingi hadi ufikie kusimama…..unaweza kua umenielewa
  3. L

    Ulipokea vipi Msiba wa Hayati Magufuli?

    Sema ulikosa usingizi sio Watanzania
  4. L

    Nimependwa na malaya

    Usisahau Kuvaa viatu
  5. L

    Ni mimi peke yangu ndio nimeoa mke mwenye uwezo mdogo wa akili?

    Lengo la Kuoa Lilikua nini?Tukijua lengo uenda tukasema kweli huyo hakufai au wewe ndio hufai maana uenda umebadirika toka kwenye lengo lenu la Kuoana. Mimi naamini ulioa ili mtengeneze familia jambo ambalo umesema anaweza,sina uhakika kama ulioa ili mshirikiane Kufanya Ugunduzi wa Kwenda Kuishi...
  6. L

    Namna ya kufanya uwekezaji na kumiliki taasisi ya kifedha kwa wenye mitaji midogo

    Watanzania wengi hawana utamaduni wa kulipa,wazo zuri lakini Jiandae na vita
  7. L

    Kama huku ndiyo kufa basi ni hatari

    Haukua umekufa,ungekua umekufa usingeweza Kurudi Jf kuandika ulicho andika.
  8. L

    Hakuna biashara inafilisi kama uchimbaji wa madini

    Dunia haina huruma na haitambui wewe ni nani,inakushughulikia itakavoona yafaa.Usikate tamaa pambna bila huruma.
  9. L

    Nimeambiwa nikiri kuwa nilitafuna mchepuko ili nisamehewe

    Usikiri kosa,narudia tena usikiri kosa for emphasize dont confess.
  10. L

    Nimeoa Mrangi

    Tutake radhi wazigua
Back
Top Bottom