Kumbe Chakula cha mwisho ni kitamu

Ngoke

JF-Expert Member
Jun 14, 2020
275
494
Mke wangu amesafiri kwenda mbali mkoani, nipo na watoto peke yangu, sisi familia yetu hatuna wasaidizi na kwa kuwa maisha tulishaandaa yaaani tulishawekeza mila mwezi pesa inaingia ya matumizi

Nikawa napikia watoto mwenyewe na upishi wa jana ijumaa, yaani akaja shemeji akanisaidia kupika mchana na akaacha kuwa usiku nitapasha tu. Basi usiku nikapasha na kuwapakulia watoto na mimi nikabakiza chakula changu kwenye sufuria yaani Mlenda, Nyama na Ugali. Basi nikawa nakula humo toka kwenye sufuria.

Nilichogundua ndio maana wake zetu ni wanene. Ni tamu balaa haina mfano.
 
Mke wangu amesafiri kwenda mbali mkoani, nipo na watoto peke yangu, sisi familia yetu hatuna wasaidizi na kwa kuwa maisha tulishaandaa yaaani tulishawekeza mila mwezi pesa inaingia ya matumizi

Nikawa napikia watoto mwenyewe na upishi wa jana ijumaa, yaani akaja shemeji akanisaidia kupika mchana na akaacha kuwa usiku nitapasha tu. Basi usiku nikapasha na kuwapakulia watoto na mimi nikabakiza chakula changu kwenye sufuria yaani Mlenda, Nyama na Ugali. Basi nikawa nakula humo toka kwenye sufuria.

Nilichogundua ndio maana wake zetu ni wanene. Ni tamu balaa haina mfano.
 
Najisikia nimeongeza uzito, kumbe mwanamke akisafiri yaani hata uzito naona unaongezeka
 
Mwamba kama mwamba ukiwa unakomba msosi
FB_IMG_16495907671135625.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom