Ngoke
JF-Expert Member
- Jun 14, 2020
- 275
- 494
Mke wangu amesafiri kwenda mbali mkoani, nipo na watoto peke yangu, sisi familia yetu hatuna wasaidizi na kwa kuwa maisha tulishaandaa yaaani tulishawekeza mila mwezi pesa inaingia ya matumizi
Nikawa napikia watoto mwenyewe na upishi wa jana ijumaa, yaani akaja shemeji akanisaidia kupika mchana na akaacha kuwa usiku nitapasha tu. Basi usiku nikapasha na kuwapakulia watoto na mimi nikabakiza chakula changu kwenye sufuria yaani Mlenda, Nyama na Ugali. Basi nikawa nakula humo toka kwenye sufuria.
Nilichogundua ndio maana wake zetu ni wanene. Ni tamu balaa haina mfano.
Nikawa napikia watoto mwenyewe na upishi wa jana ijumaa, yaani akaja shemeji akanisaidia kupika mchana na akaacha kuwa usiku nitapasha tu. Basi usiku nikapasha na kuwapakulia watoto na mimi nikabakiza chakula changu kwenye sufuria yaani Mlenda, Nyama na Ugali. Basi nikawa nakula humo toka kwenye sufuria.
Nilichogundua ndio maana wake zetu ni wanene. Ni tamu balaa haina mfano.