Hapana boss.ni mweusi tii..anaitwa zainabu..kipind fulan nilikuaga na mdogo ake fulani wa last born wao fulan hv...anaitwa ..tatu cjui yupo wapi cku hizi.
Hapa nimekuelewa....sheria ipo ila haifuatwi....ushauri wako ni kwamba...sheria ifuatwe kwa kazi kufanywa na wataalamu husika....kwamba dawa zisigawiwe kama njugu...
Naipenda sana hii Caption: *_A person shall not carry the business of pharmacist unless that person is a pharmacist or is in association with a pharmacist_*
Basi ndo tunapiga hela sasa..we spend five years in school...kazi kwako.....na hyo ndo kazi yetu..utaisoma namba na kusoma kwako sana afu huna hela...No person shall do bussiness of pharmacist other than pharmacist...kama unadhan ufamasia ni kugawa dawa kama alivo andika dr...rudi darasan tena
Ugonjwa wa bawasili unasababiswa sana na life style...ukifanyiwa operation/au kutibiwa na njia nyingine yeyote..... kama utaendelea na style hyohyo..tatizo litakua linarudia tena na tena...unacho paswa kufanya ni kuepuka kupata choo kigumu wakat wote....angalia aina ya vyakula unavyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.