Hiki kichwa kinastahili kuingizwa kwenye maajabu ya dunia maana swaga zake mimi hoi ni kama sio mkulu vile hana muda wa kupima athali ya kauli zake yeye ni mwendo wa bampa to bampa kila linalo mjia.
Atakapo wakamata na kuwapelaka kwa Pilato wale wote waliotufikisha hapa bila kujali huyu mfupi ana ubala au anafanana na lodi lofa hapo bila hiyana nitamuunga mkono mchana kweupe.
Asipo fanya hivyo tutampinga tu kwani dhamila yake itakuwa ina chagua na kubagua.
Hiyo nyumbani park a.k.a samaki sports pale Bima ipo opposite na nyumba ya RPC wa morogoro ila mwendo mdundo tunakula bia na mikelele ya mziki hadi jogoo anaruka bonanza.
Anahitajika kijana wa kuuza chips.
Vigezo
1.Muombaji awe na ujuzi wa kutengeneza chips pamoja na madiko diko yake mfano chachandu, ukwaju na mengineyo.
2.Muombaji awe tayari kuishi morogoro na viunga vyake.
3.Muombaji ajuwe kukalimu wateja na lugha ya kuvutia kwa wateja.
Aliye tayari aje PM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.