Mkurugenzi MORUWASA unatesa wananchi Morogoro

Mkurugenzi MORUWASA unatesa wananchi Morogoro

aiseh..kweli kabisa, tatizo la maji morogoro linasababishwa na uongozi, kwa sababu kama maji yangekuwa hayatoshi, yasingeuzwa katika ma bouser( maboza, magari ya maji), ila inaonekana ni mradi wa watu kupiga pesa, halafu morogoro sio mkoa wa kukosa maji kabisa kwa sababu kuna vyanzo vingi vya maji. Watu wa kuanzia kihonda kwa chambo, mkundi na kata zake zote kunashida kubwa sana ya maji, na nyie ndugu zangu wa huko moro, mfanye maamuzi ya kuchagua viongozi sahihi na sio kuchagua chama kisichowaletea maendeleo....! nadhani mmenielewa wa ukae, mbadilike tupate maendeleo huko kwetu morogoro
 
Hahahaaa hizo ndio changamoto za kuikumbatia kijani na njano,wenyewe wanaipeeeeeeenda CCM yao
 
Kutakuwa na shida huko Morogoro, ila mkuu uko hotelini Moro au kitaa? Maana inaonesha unafahamu sana maisha ya Moro kitaa. Usije ukawa unarusha jungu.
 
hakuna cha kwenye magest wala nini morogoro maji ni shida kupita kiasi yani siku zinavyozidi enda moro yenyewe inazid ludi nyuma sijui kunatatizogani...
 
Huu Uzi viongozi tunaomba mtilie mkazo tunayochangia hapa .

Morogoro ni mji unaokuwa kwa kasi sana population yake imezidi maradufu miaka ya hivi karibuni na mjini ambao unakuja juu kibiashara na kilimo .

Tunaomba kero ya maji Moro iwe jambo la msingi kwa awamu hii .kero itatuliwe na hao viongozi wa idara ya maji hawafai waletwe wapya .

Wizara ya maji msaidie hili wandugu.
 
Huu Uzi viongozi tunaomba mtilie mkazo tunayochangia hapa .

Morogoro ni mji unaokuwa kwa kasi sana population yake imezidi maradufu miaka ya hivi karibuni na mjini ambao unakuja juu kibiashara na kilimo .

Tunaomba kero ya maji Moro iwe jambo la msingi kwa awamu hii .kero itatuliwe na hao viongozi wa idara ya maji hawafai waletwe wapya .

Wizara ya maji msaidie hili wandugu.


Nakazia hii mada
 
Back
Top Bottom