Nimekuwa nikiona au kusoma post za wana JF mara natafuta mchumba mara natafuta sugar mamii mara natafuta msichana wa kuoa anaejitambua hivi uwa mnapata kabisa na mnafikia malengo ya kuoana nitoeni usingizini mwenzenu bado siamini mapenzi ya kwenye mitandao tena urafiki unaisha mapema...
hii post ni ya muda ila imenivutia kwasababu mm kila siku usiku lazima ninywe Tanga fresh pakti moja na nimefanya hivyo zaidi ya mwaka sasa sijawahi kukutana na ladha tofauti ladha ni ileile tena yenye ubora wa hali ya juu.
Wapendwa mimi nimeamini katika mapenzi hakuna limbwata bali ni jinsi gani nyie wenyewe wahusika mnadumisha penzi lenu kwa mfano Shemeji yenu ukimkuta nyumbani anavyonifulia na kunioshea vyombo au ananipikia mm niko tu pembeni nampa maneno matamu unaweza kusema nimempa limbwata kumbe wala hata...
kikubwa katika hili ni uvumilivu wangu ndio chanzo kwani ningeliogopa hili tangu mwanzo haya yote yasingenikuta niliamini ipo siku mwenzangu atabadilika tu lakini imekuwa tofauti kwani siku zinasonga na hakuna mabadiliko sidhani kama ningekuwa nachukia kupigwa na najua napigwa kwa sababu...
nashukuru sna tena sna ur rit ingawa kdg kuna tofauti sijui kumjibu mume wangu na uwa inafikia anasema nisipomjibu ni dharau na ikitokea nimemjibu pia anayachukulia vingine na kichapo kinaanzia hapo nasikitika nimejitahidi sna kuvumilia kipigo nikiomba na kuamini kitaisha siku moja lkn...
kwa maadili ya kiafrica sipaswi kumludishia mume wangu ngumi hata kama nami najua kupigana lakini pia ubavu wa mume wangu ni heavy siwezi hata kuhimiri kupigana nae nadhani siku hiyo ataniua kbs.
ahsante kwa ushauri mzuri kiukweli ndo nimeanza step one kwa kuondoka nazidi kumwomba Mungu anifungulie napaswa kufanya nn baada ya hapo kwani kiukweli siko tayari kuendelea kubeba msalaba wa kipigo tena miaka 9 imetosha ya kupigwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.