Bado nampenda

Bado nampenda

pole sana mumy, atlast umekubali kumpenda mumeo. zidisha maombi ninaamini ipo siku mambo yatakuwa sawa. kumbe na huku umo?
 
kwa maadili ya kiafrica sipaswi kumludishia mume wangu ngumi hata kama nami najua kupigana lakini pia ubavu wa mume wangu ni heavy siwezi hata kuhimiri kupigana nae nadhani siku hiyo ataniua kbs.

Haya mama basi endelea kuishi Kiafrika zaidi, endelea kufanya punching bag.
Hata kiafrika hairuhusiwi mke kumkimbia mume.
 
mie nakueleza dada jifunze kupigana itakusaidia. Siku ambayo huyo mwanaume akilianzisha anakutana na muziki asioweza kuucheza.
Kesho yake akiamka na ngeu ile aibu kwa marafiki itampa adabu.
Halafu ukishajua kupigana siku hata naye akikukorofisha wewe ndio unakua wa kwanza kusupply kichapo....lazima adabu itamkaa tu

kaka nimecheka mbavu sina...kwamba mshkaji kesho akiingia ofcn anaulizwa na wenzake mida ya tea-break "oya vip usoni mi-plasxter hiyo umekuwaje..ajali nini?" anajibu kiupooole..dahh hizi pikipiki mpaka zituue wote...jana nimepata ajali sema mungu mkubwa nimeumia usoni kidogo tu....wapi na wapi bwana wewe unaendesha gari umepataje ajali ya pikipiki ukaumia uso na gari lako lipo fresh tuuu?....

Hapo unakuta mama anapiga kaa yule demu wa kichina angela mao....lazma mshkaji atie adabu kwa wife na ubabe wake wa kikurya tupa kuleee.
 
Ni heri kuishi na shetani unayemjua kuliko kuishi na malaika usiyemjua,ulimjua huyu mwanaume kitambi sana kiasi kwamba yote aliyokuwa anakufanyia uliyavumilia na ikafikia mpaka mkafunga ndoa,nakuona una tatizo kubwa sana na hujaliweka hapa,kama unajua mumeo ana hasira,je kinachokufanya ushindwe kutomkasirisha ni nini?Sidhani kama mumeo huamka na kuanza kukupiga tu bila sababu,tuambie ukweli wa uliyokuwa unayafanya ndio tutaweza kukushauri vizuri.
 
nashukuru sna tena sna ur rit ingawa kdg kuna tofauti sijui kumjibu mume wangu na uwa inafikia anasema nisipomjibu ni dharau na ikitokea nimemjibu pia anayachukulia vingine na kichapo kinaanzia hapo nasikitika nimejitahidi sna kuvumilia kipigo nikiomba na kuamini kitaisha siku moja lkn imeshindikana kwani amefanikiwa kwenda shule nje ya Tz kwa miaka 4 nikajua akiludi atakuwa kabadilika lakini aliludi yule yule na kipigo kikawa pale pale niko kwenye mtihani mgumu sna kwani naona kama mwenzangu anaona kipigo ni sehemu ya maisha yangu.
 
WENZAKO WALIO JIUNGA LIMBWATA@WORK, WANAFAIDI MAISHA YA NDOA!...NAWE HAUJACHELEWA!
very-funny-photo-manipulation-17.jpg
 
kikubwa katika hili ni uvumilivu wangu ndio chanzo kwani ningeliogopa hili tangu mwanzo haya yote yasingenikuta niliamini ipo siku mwenzangu atabadilika tu lakini imekuwa tofauti kwani siku zinasonga na hakuna mabadiliko sidhani kama ningekuwa nachukia kupigwa na najua napigwa kwa sababu namkasirisha mwenzangu na nampenda ningeshindwa kuacha hiyo tabia ya kumkasirisha nakuhakikishia ningeacha mara moja ili asiwe ananipiga nilichogundua ni hasira tu kutoka kwa mwenzangu amekuwa aki over react hata kwa kitu ambacho tunaweza kuwekana sawa kwa maongezi ya kawaida coz mm wala yeye sio malaika na tumetoka katika malezi tofauti kutofautiana ni jambo la kawaida kabisa ila mnakaa chini na kuwekana sawa na si mwingine kuumizwa kwa kipigo.
 
hahahahahah ni kweli usemayo lkn nimekimbia sababu maisha yangu yako hatarini
 
naogopa hilo tuuu kwanza Mungu ananipenda sana nadhani nilipaswa nw niwe marehemu
 
mapenzi kweli ni kizunguzungu.wewe mume anakupiga urudi uendelee kipigo.huyo mtu mzima hatoacha,labda afikie stage ya uzee,maana kuna wababa wengine huwa wakali,ila ikifika age ya uzeeni ukali unapungua.si ushukuru umetoka hapo bila kilema chochote?ukae umlee mtoto wako?mapenzi ya ngumi jamani hapana.
 
pole sana dada ila ushauri ni hivi kama unampenda sanaaaa nenda kafanye mazoezi ya ngumi hata ujue kupunch tu itasidia kupunguza makonde then mrudianie

Hujawahi kupeleka ombi lako kwa mwakasege ?
 
Back
Top Bottom