Tatizo la chadema ni lipi kwani wao Kama chama cha siasa kutetea uhuru wao wa kufanya kazi Yao ya siasa ni kosa? Na hata huo mfano wako wa cuf na mahita je Nani alishinda? Mahita kastaafu lakini siasa inazidi kukua walitumia propaganda ya udini na vurugu lakini cuf ikazidi kukua na sasa ccm...
Nilikuwa namheshimu akitoa ushauri kwenye mahusiano sasa simheshimu tena kwani nimeona hoja zake ni Kama anataka kumtetea mkuu ili amfikirie kwenye serikali huna point ya msingi
Nadhani hayo ni mahaba tu kaka Kama ingekuwa ushirikina sidhan Kama angehitaji hizo nywele kila siku na pia mshirikina anafanya mambo kwa Siri sana usingejua kamwe
Huwez kusema gazeti la mwanahalisi limekosa soko wakati hujui mwanzo walikuwa wanachapisha nakala ngapi na sasa wanatoa nakala ngap ila ninachokiona ni mtu kuongozwa na mihemko ya kisiasa badala ya tafakuri ya kina kwani hata wanaharakati sehemu kubwa wapo against na serikali dunian kote na...
Tatizo siasa zetu cheap sana ishu ni kwamba hvyo viwanda vitengeneze nguo bora na za kisasa watu watanunua ila huwez kutaka sympathy ktk dunia ya ushindani
Hakustahili kuwa mbunge ila hzo hela alizomake kwenye biashara na ukaribu wake kwa viongozi ndyo umemsaidia hv iwekwe hoja asimame sakaya atetee matiko akamue bulaya halafu mdee amalize kisha aje huyo marwa unaweza kutamani kuingia kwenye TV umtoe nje
Kwa Tanzania ni kosa kubwa sana kukosoa kitu ila wanapenda kusifiwa tu ila mtu mzuri ni yule anayekukosoa kwan anakujenga ila sifa zisizo na mantiki ni kuipumbaza akili nadhan mtoa mada katoa majina ya wanamuziki waliokuwa chini ya lebo ya Sony na wakaanguka sasa ww toa listi ya waliopata...
Tatizo lenu mmeuona ulevi mmoja tu kwa kitwanga ila huo ulevi wenu wa madaraka hamuuoni namna unavyoligharimu taifa letu kwan mbunge wa upinzan akiongea point nyie walevi wa madaraka mnashindana kumshambulia personal badala ya kujenga hoja
Tunaangamia kwa kukosa maarifa tatizo ameshindwa kutumia hekima na busara na muda mwingi anapambana na kivuli chake na pia gharama ya kukulinda chama cha mapinduzi ni kubwa sana Kama anataka kufanikiwa lazma aanze kutengeneza msingi nchi ambayo ni katiba bora hayo majipu yanapasuka yenyewe...
Hivi mlitegemea nape aje kuusifia upinzani? toka lini kuna vitu vya ajabu sana nchi hii wabunge wa ccm wapo bize kuwaponda upinzani badala ya kutoa hoja zenye tija kwa taifa bunge limekuwa ni sehemu ya kuonyesha namna gani unaweza kuwatukana au kuwaponda upinzani ndyo maana sheria mbovu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.