Kufall in love niwendawazimu huo jiulize ww ndowakwanza kwahuyo dem au man? Nakamaww niwakwanza basi jiulizetena ww ndoutakuwa wamwisho kwake? Sikakazi watu kupenda nahata nikiwakataza nenolangu sisheria lkn epuka sana wendawazimu wakufall in love utalisana angaliambele ww!
Vilevile akilizakuambiwa changanya nazakwako ukiombaushauri ukaona unapotoshwa au unapotezwa basi achana naushauri HASI tafuta ushauri CHANYA kikubwa jifunze kuishinda nasfiyako ukiona inakusababisha kushindwa Vita ya mafanikio wekabidii kwakile unachokiamini kwamba kitakufikisha kwenye safari...
Kwamtazamo wangu mimi kilamtu anaelimu yahapa napale kwamaana unakoanzia na kumalizia primary siounako somea secondary yaani o' level na unakosomea A'level nitofaouti as well as chukikuu nako nitofauti kwahiyo wengi wetu japo sio wafuasiwachadema tunaelimuza hapanapale au ww ulikuwa namaanagani?
Wahindi hao watasakiziwa mpaka waondolewe waishe maana wakimuajiri Mbongo wanamfanya kama roboti hata kitu kilicho chini yamiguu yasofa alilokalia utasikia anamuita Mbongo akakiokote ampatie yaani nizaidi ya mamwinyi so! Naowawafagie waishe waache kuwageuza wabongo maroboti kwasababu ya umaskini wao
Tatizo wachina hawajatumia akili zakujiongeza hapa wangekwenda vijijini ambako ajira hazisumbui walawatu wake hawanashida sana yakuajiliwa wao wanawaza familia zao zilezishibe nakulala sasa wao wamekimbilia mijini ambako kilammoja anatafuta hiyo ajira lazima wakione chamtemakuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.