habarin wakuu! binafsi naamani pamoja na sababu zingine ndugu zetu walimu(taraji) hawajapata ajira mpaka sasa ili uandikishwaji wa daftari la kudumu la kupiga kura uishe au uwe umefanyika sehemu kubwa ndipo wapangiwe sehemu za kaz na hapo watashindwa kupiga kura kwan watakuwa wameandikishwa...
wewe ndo juha,serikali za mitaa kuniwengne mmewawekea mapingamiz watu hawakupiga kura,alafu asilimia imetafutwa kwa idadi ya vitongoji na vijj na sio idad ya watu,pia katiba pendekezwa hata maccm haiipend sasa kama wewe unaakili je 75% ya watanzania itapatkana ilikupitisha katiba? kama...
wewe ndo jua,serikali za mitaa kuniwengne mmewawekea mapingamiz watu hawakupiga kura,alafu asilimia imetafutwa kwa idadi ya vitongoji na vijj na sio idad ya watu,pia katiba pendekezwa hata maccm haiipend sasa kama wewe unaakili je 75% ya watanzania itapatkana ilikupitisha katiba? kama mkihesabia...
hapana mkuu,sina ile species ile ya israel,but tunaweza tukawasiliana kwa namba zangu zile ili tufanye business hata kama umepata soko,unaweza uka middle man au sio,kuku kwetu huwaishi,coz kwa siku zaid ya kuku 20_30 wanazaliwa.welcome ndugu
ccm hawajui kujifunza na hawawezi kujifunza ndio maana wakina nape wanabishana na facts kitu ambacho sio logical kwa chama kama ccm,wanapenda kujiona wazima hata kama ni mahuthuti.
kama kichwa chako kinafanyakazi vizuri utakubalia na mimi kwa sababu zifuatazo 1-ushindi uliopatikana na kuhesaba idadi ya vijiji na vitongoji ambavyo ccm imeshinda na sio idadi ya watu waliopiga kura 2-ukawa imeshinda sehemu zenye population kubwa ya watu. 3-idad ya watu ambao wangeichagua...
jamani natafuta watu wenye shida na kuku wa kienyeji kutoka nauza kwa bei nafuu sana kuku,jogoo mmoja ni shilingi 12000 na tetea shilingi 10000,nipo mbeya ni kuku kutoka malawi.napokea order kuanzia kuku 100 nakuendelea,karibu sana-namba zetu ni 0764786277.
ok jaribu kuwasiliana na wataalamu lakin kuhusu wapi pa kuwapata kuku nitafute mm ninakuuzia kuku kutoka malawi ni kuku wenye umbo kubwa na wanataga vizuri ,tuwasiliane karibu tufanye biashara mim nipo mbeya,piga0764786277
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.