kwanza jipende wewe mwenyewe acha kumuongelea na kumfuatilia huyo mwanamke kama huna kazi tafuta kitu cha kukufanya uwe bize na mambo yako usimuongelee kabisa huyo mwanamke futa namba yake yaan fanya kama vile hayupo yaan
mimi nimejifunza/nimeujua wema wa baba yangu kwa kuuona mwenyewe bila kuambiwa na mama,,,,ingawa baba alikuwa mtu wa kusafiri lakini akirudi nyumbani anatupa muda anakuwa karibu na sisi kiasi akiondoka ni huzuni,,,,hivyo kwa mtazamo wangu wema au uzuri wa baba sio lazima usemwe na mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.