Recent content by liikambako

  1. liikambako

    Waziri Simbachawene: CHADEMA walihamasisha makundi makubwa ya watu na daladala nyingi kwenda Magereza

    Kuna wakati huwa nakaa na kufikiria hivi hawa wanasiasa wanamwamini Mungu,au wana Dini,na kama wanadini wanapoenda kwenye Nyumba za ibada kusali huwa wanajisikia vipi kwa waumini wenzeo ambao ni wanachama wa vyama tofauti,kweli Uongozi ni utumwa wa kumtumikia Fulani
  2. liikambako

    Kamanda Mambosasa: Upelelezi wa kesi ya wafuasi 27 wa CHADEMA wakiwemo viongozi wanaodaiwa kufanya fujo gereza la Segerea umekamilika

    Wakati wa utawala wa IDD Amini Dada wa Uganda mambo yalianza hivihivi uongo ukageuka kuwa ukweli,baadaye watu wakazoea, ikawa mateso kwao wananchi ni kitu cha Kawaida na viongozi wa Dini walikaa kimya,lakini baadaye yaliwatokea puani wote,hakuna cha kiongozi wa chama kilichokuwepo madarakani...
  3. liikambako

    Kamanda Mambosasa: Upelelezi wa kesi ya wafuasi 27 wa CHADEMA wakiwemo viongozi wanaodaiwa kufanya fujo gereza la Segerea umekamilika

    Ukishaona ndani ya inchi uongo unatumika kwa watu waliopewa dhamana ya kutuongoza na imegeuka kuwa kitu cha kawaida basi jua kwamba kupambazuka kuko kalibu, sababu haiwezekani kwa mtu Mwenye akili timamu akubaliane na hayo yanayoongelewa na polisi
  4. liikambako

    Nimegundua ameni-cheat kwa miaka 3 mfululizo, nifanyaje?

    Niliichogundua wanawake huwa wanasaidiana sana mmoja wao anapoharibu,Mwanaume unapokuwa na matatizo na mwenzi wako usiombe ushauri uamuzi uko juu yako,Mjinga sana wewe jamaa
  5. liikambako

    Mama amuua 'House Girl' kwa kipigo, amfungia chumbani

    Niseme wamama wa kichagaa wanaroho mbaya sana
  6. liikambako

    Segerea: Wabunge wa CHADEMA Ester Bulaya, Ester Matiko na Halima Mdee waachiwa. Wasema sasa ni saa ya ukombozi Tanzania

    Hivi kwa nini mtu anafurahiya anapomtesa mwingine,na kwa nini huyu anashangilia anapomuona yule anateswa,huwa najiuliza hawa watu wana akili kweli,
  7. liikambako

    Kifo cha Mtakatifu Perpetua na Felista

    Hakuna binadamu anyeitwa mtakatifu huku ni kudanganyana,Mungu ameumba binadamu wa aina mbili,Mitume na binadamu wa kawaida,Mitume wamepewa uwezo au kalama tofautitofauti sisi tumeumbwa na mapungufu, hakuna binadamu aliyekamilika kila unayemuona anamapungufu kwa nini umuite Mtakatifu wewe ndiye...
  8. liikambako

    Mbinu mpya inayotumiwa na Watanzania nchini Msumbiji

    Umeamua kutoa siri?halafu kesho ukikamatwa utamlaumu nani?
  9. liikambako

    Mbinu mpya inayotumiwa na Watanzania nchini Msumbiji

    Umeamua kutoa siri?halafu kesho ukikamatwa utamlaumu nani?
  10. liikambako

    Nimegundua baba alimharibu (sexually abused) ndugu yangu wa kike

    Mreta maada hii mitandao inadanganya sana angalia usije ukaleta mfarakano ndani ya familia yako,huyo ni mzazi wako atakuja kukufia na kinyongo bure,kosa alilofanya mdogo wako kukutamkia,hivi vuta picha mnamkalisha mzazi wenu mnaanza kumuuliza mambo ya miaka mingi yaliyopita ili iweje,watu...
  11. liikambako

    Mambo ya ajabu niliyoyaona Msumbiji (Mozambique)

    Kwani unazani wenye Hera wamesoma,mda wao mwingi walitumia kutafuta sio kukaa darasani
  12. liikambako

    Jana nimeng'atwa na nyoka mguuni!

    Siku nyingine ukiona kuku anapiga kelele za taadhali au hatali usitoke inje peku,kama una buti vaa,tumia mwanga yaani tochi,usiende kichwakichwa chukua taadhali,na usikose fimbo u panga,au wewe wa Daresaalam nini
  13. liikambako

    Nimegundua baba alimharibu (sexually abused) ndugu yangu wa kike

    usije jalibu kumuuliza baba yako,utapa laana na ndiyo itakuwa zambi kwako kubwa huyo ni mzazi wako kama alifanya kwa bahati mbaya au kwa makusudi atajuana na Mola wake, na ,kama alitubia ishalah ametubia Mungu atamsamehe,sio wewe mtoto mdogo aliyekulea tena ulikuwa unatishwa hata na inzi Leo...
  14. liikambako

    Mambo ya ajabu niliyoyaona Msumbiji (Mozambique)

    Wewe msafwa was upoloto unayesema naandika uongo njoo uwaone wanyakyusa wenzako wanavyopiga hela,ingawa si vizuri kuwataja kwa majina,na vilevile haitakuwa vizuri nianze kujitangaza mafaniko yangu boa vinda Mozambique hapa sio mahali pake,
  15. liikambako

    Mambo ya ajabu niliyoyaona Msumbiji (Mozambique)

    Unajua unaposema inchi ya kipumbavu hakuna dili inategemeana na wewe unafanya dili gani,mfano kunamafundi wengi tu hapa wabongo wanatengeza sofa,kunawatu wanapiga Hera sababu ya kupiga bati kama za kibogo,ukija upande wa kilimo huku wewe lima hakuna haja ya mbole, ardhi yako haijachoka kama...
Back
Top Bottom