johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
Uko bank?Mkuu niko sehemu tofauti kabisa.
Uko bank?Mkuu niko sehemu tofauti kabisa.
Na hata wale wanoliombea nafikiri huwa wanamkufuru MUNGUHalafu kesho kuna jitu litasema mniombee,shubaamiti!
Ladies First!
CDM hua wananifurahisha sana!
Wananchi tumechanga,guess what,maccm yanaharisha!
These niggas will die on themselves aisee!
Hawaendi kwanza makwao kuoga?Mkutano wa moja kwa moja na wandishi wa habari kati ya viongozi na kuwapokea waliotoka magereza
Update
-------
Nimefurahia sana akina mama kupewa nafasi ya kwanza.
Inapendeza sana
Sent using Jamii Forums mobile app
but not liveUzi umeshawekwa tayari na Salary Slip
Ingekuwa poa kweli yule mwanafunzi aliyeuawa angekuwa ndio wewe au ndugu yako wa karibu.Na wakome! Wajifunze kuwa wazalendo na waache kutumiwa na mabeberu kuvuruga amani ya nchi kwa kisingizio cha Democrasia na wingi wa watu katika kutenda uhalifu wakidhani mkono wa sheria utawaogopa! Wakirudia wataadhibiwa kwa adhabu kali ili akili ziwakae kichwani! Badala ya kujenga hoja wananchi tuwaelewe wanaazisha vurugu za maandamano??? Shwaini!!
Samahani mkuu, unajua waliandamana kwa sababu gani?Na wakome! Wajifunze kuwa wazalendo na waache kutumiwa na mabeberu kuvuruga amani ya nchi kwa kisingizio cha Democrasia na wingi wa watu katika kutenda uhalifu wakidhani mkono wa sheria utawaogopa! Wakirudia wataadhibiwa kwa adhabu kali ili akili ziwakae kichwani! Badala ya kujenga hoja wananchi tuwaelewe wanaazisha vurugu za maandamano???
Kiongozi,walinyimwa haki yao ndo maana wakaona haina namna au ulikua mdogo mwaka 2018?Sasa wajifunze kutii sheria bila sheria bila shuruti sio kuandamana bila mpango!