Recent content by ligimilo

  1. L

    Al Qaswus Hivi Ni Kinywaji Cha Aina Gani Na Husaidia Nini Mwilini Wakuu...?

    Ni mchanganyiko wa Karafuu (clove); Kahawa (Coffee); habat sauda (black seed); ); Pilipili mtama (Black paper); Maziwa (Milk); Asali (Honey). Basically it is an aphrodisiac Sent using Jamii Forums mobile app
  2. L

    Respect, Protect and Love women but never take advice from a woman

    Sikililiza mawazo yao, chambua then amua kwa kadri utakavyoona inafaa na si kuamua based on their advice
  3. L

    Duka la Dawa Muhimu

    Wadau naomba kujuzwa utaratibu unaopaswa kuzingatiwa ili kuanzisha Duka la Dawa Muhimu
  4. L

    The psychology of women

    The opposite is true, this is from the research
  5. L

    Njia Sita za Kumnasa Demu Mkali…

    No, you just have to know the psychology of women
  6. L

    The psychology of women

    Mwanamke ambae hakulelewa na baba yake katika utoto wake, pindi atakapokuwa mtu mzima hupendelea kuwa na mwanaume (mwenza)ambae most of the time atakuwa akimuongoza katika Kila jambo regardless of its complexity
  7. L

    Naona K-Vant akimfyekelea Mbali Konyagi

    Konyagi waliamini kuwa brand yao haina mpinzani, kitu ambacho si sahihi. Walitakiwa kwenda na wakati.
  8. L

    Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

    Umeeleza vizuri, mimi pia ningependa kujua kwa undani je ni vifaa gani vingine muhimu vya kuweka? mfano rula, penseli, kifutio.................
  9. L

    Kisamvu...

    Hakika ni tamu sana, nimekila usiku wa jana
  10. L

    Roho mbaya ni maumbile ya mtu alivyoumbwa hayabadiliki hata Ukipewa Uchungaji

    Najihisi kama nna roho mbaya vile, duh, ntafanyaje kuondokana nayo Sent using Jamii Forums mobile app
  11. L

    Nilimhurumia sana baba yangu alipoambiwa na mama yangu kuwa mimi siyo mwanae wa kunizaa

    Take it from me, wanaweza kutunza siri kwa muda tu, with time wanasema wenyewe Sent using Jamii Forums mobile app
  12. L

    Nilimhurumia sana baba yangu alipoambiwa na mama yangu kuwa mimi siyo mwanae wa kunizaa

    Ok sorry, Faiza nimetafakari maudhui ya ujumbe wa awali nimeshaelewa Sent using Jamii Forums mobile app
  13. L

    Nilimhurumia sana baba yangu alipoambiwa na mama yangu kuwa mimi siyo mwanae wa kunizaa

    Sjaelewa wamaanisha nn, nisaidie Sent using Jamii Forums mobile app
  14. L

    Nilimhurumia sana baba yangu alipoambiwa na mama yangu kuwa mimi siyo mwanae wa kunizaa

    Hilo ni shambulizi kubwa Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom