Andie
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 713
- 1,641
Wanawake ni mama zetu, dada zetu na zaidi wake zetu. Waheshimu wote, walinde na wapende wote. Naposema waheshimu sio uwapigie magoti kama nilivyosema jana huu ni ujinga sio upendo.
Kuwaheshimu ni kutambua umuhimu wao, kuwalinda ni kuzuia mabaya yoyote yanayotishia amani au furaha yao, kuwapenda nikuwepo kwa ajili yao na kuwapa, kuwapa nini ? Kila kitu mahtaji yao yote, nitazungumzia majukumu ya mwanaume siku nyingine ila kua nalo akilini ni jukumu lako kumpa mwanamke mahtaji yake yote hapa natofautiana na wale wanaume wanaoamini katika "kusaidiana" maisha na mwanamke, ndo maana mnadhalilishwa na wake zenu wavivu nyie.
Ok fanya yote tajwa ila usichukue ushauri wa mwanamke. Msikilize tena msikilize kwa makini tikisa kichwa mpongeze kwa mawazo yake ila usiyafuate mawazo yake.
Wanawake hutumia hisia kuamua mambo na sio fikra huru, mawazo yao yanaamuliwa na hisia zao ndo maana asubuhi atacheka mchana kanuna bila sababu jioni anabonga stori kama cherehani ya mjerumani.
Wanawake hawako vizuri katika vipimo na makadirio hili huwafanya mawazo yao kua yakufikirika tu na sio kutekelezeka. Ila narudia mpe usikivu, we msikilize hata kama atabwabwaja masaa mawili msikilize tena kwa makini akitoka hapo roho yake nyeupee.
Ukitaka biashara yako ifilisike sikiliza ushauri wa wanawake. Ukitaka ndoa yako ife kibudu fuata ushauri wa wanawake juu ya kuendesha familia na ndoa yako, yani unamuuliza samaki jinsi ya kutega na kufuga samaki unategemea kufaulu ?!
Peace be upon you all.
Kuwaheshimu ni kutambua umuhimu wao, kuwalinda ni kuzuia mabaya yoyote yanayotishia amani au furaha yao, kuwapenda nikuwepo kwa ajili yao na kuwapa, kuwapa nini ? Kila kitu mahtaji yao yote, nitazungumzia majukumu ya mwanaume siku nyingine ila kua nalo akilini ni jukumu lako kumpa mwanamke mahtaji yake yote hapa natofautiana na wale wanaume wanaoamini katika "kusaidiana" maisha na mwanamke, ndo maana mnadhalilishwa na wake zenu wavivu nyie.
Ok fanya yote tajwa ila usichukue ushauri wa mwanamke. Msikilize tena msikilize kwa makini tikisa kichwa mpongeze kwa mawazo yake ila usiyafuate mawazo yake.
Wanawake hutumia hisia kuamua mambo na sio fikra huru, mawazo yao yanaamuliwa na hisia zao ndo maana asubuhi atacheka mchana kanuna bila sababu jioni anabonga stori kama cherehani ya mjerumani.
Wanawake hawako vizuri katika vipimo na makadirio hili huwafanya mawazo yao kua yakufikirika tu na sio kutekelezeka. Ila narudia mpe usikivu, we msikilize hata kama atabwabwaja masaa mawili msikilize tena kwa makini akitoka hapo roho yake nyeupee.
Ukitaka biashara yako ifilisike sikiliza ushauri wa wanawake. Ukitaka ndoa yako ife kibudu fuata ushauri wa wanawake juu ya kuendesha familia na ndoa yako, yani unamuuliza samaki jinsi ya kutega na kufuga samaki unategemea kufaulu ?!
Peace be upon you all.