Mtu yupo chini ya ulinzi na bado anaweza kupanga uhalifu........
Hii ni nini...?
1. Vyombo vya usalama vimezidiwa mbinu na wahalifu?
2. Au vyombo hivi vya usalama vinashirikiana na wahalifu?
Sitamani hata kidogo kujitoa kwenye TUICO. Nanufaika sana na Mkataba wa Hali Bora. Lakini pia nina uhakika wakutetewa kisheria nikionewa. Nakatwa 2% monthly but kwenye CBA napata annual increment ya 10% ya basic yangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.