mmmmm faiza you might have a problem, am sure. Unafikir nani hakusikiliza hotuba ya kikwete??? Kwann ameanza kutisha wananchi kwamba kunauwezekana wa jeshi kuchukua nchi??? Maana yake anawaogopesha wananchi kwamba wakileta serikari tatu tunaweza pata dictetorial govrt, ni kweli kwamba serikari...
Unavyowaita wenzio misukuke ww ni nn? Unafikir mawazo yako ndo ya maana saana kuliko wengine??? Ni nani unafikir hakumsikiliza huyo kikwete wako ambaye ww unaamini alichojisema ndo sahihi na wote wenye mitazamo mingine ni misukule??? Unajiona ww ndo unaewa zaid ya wengine sana????? Ni uPumbavu...
We jamaaa no MTU wa ajabu sana kika nikisona comments zako huwa natamani kutapika huwa siamini kama kuna watu huwa wanafikir HV kama ww, chadema hakuna democrasia je Ccm IPO? Mbona huko nako wanarithishana madaraka he tusemaje, ona karenga kinaendelea nn kama co kuwafanya wenzenu ng'ombe. Ache...
yaan hili jamaaa linaaibisha sana watu wa iringa. linapenda sana kujikomba komba nani alikwambia siasa ni kujikomba komba ww. acha umbulula huo mnyalu ww
umesema sawa kabisa, unajua haya mambo watu hawayaelewivzuri. wanaweza sema wanakibomoa chama furani,lakn mbegu hiiikimea sawasawa madhara yake ni makubwa mno. unajua ktk familia mnawezakugawanyika mwingne akawa chama hiki na mwingne kingne, unafikiri anajisikiaje unavyokipaka matope chama chake...
naunga mkono miakwa mia. lukosi njooo uj .....mbe kama kawaida yako kuchafuaha;hali ya hewa. sijawahkuona mhehe zuzuz kama lukosi. kweli wanyalu wanatabia za kujibembeleza kwa watu kwelii?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.