Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
Mkuu siku nyengine ukiwa na makala unayotaka iwafikie jamii usitumie Tanzania Daima, Hili gazeti ni sawa na KIU,Uwazi ...etc Halina thamani katika jamii ya watu wenye heshima......
Mkuu pia kuna viongozi wa dini walio katika siasa lakini wanaendelea kuongoza nyumba mbali mbali za ibada, utategemea vipi waumini wa hawa watu wasijichanganye pale viongozi wao hawa wa kiroho wanapotaka kura za kuja "KUWATETEA"? Wimbi kubwa la maaskofu, mapadre, wachungaji kujiunga na vyama vya siasa , kuchukua uongozi wa kisiasa huku wakiendea kushikilia nyadhifa zao kwenye majumba ya ibada ndio kichocheo cha haya yote tunayoyaona..
Anyway mawazo yako si mabaya ingawa umeyatoa kwenye gazeti la UDAKU linaloendeshwa kwa hisia na mitazamo ya watu fulani..
Mkuu pia kuna viongozi wa dini walio katika siasa lakini wanaendelea kuongoza nyumba mbali mbali za ibada, utategemea vipi waumini wa hawa watu wasijichanganye pale viongozi wao hawa wa kiroho wanapotaka kura za kuja "KUWATETEA"? Wimbi kubwa la maaskofu, mapadre, wachungaji kujiunga na vyama vya siasa , kuchukua uongozi wa kisiasa huku wakiendea kushikilia nyadhifa zao kwenye majumba ya ibada ndio kichocheo cha haya yote tunayoyaona..
Anyway mawazo yako si mabaya ingawa umeyatoa kwenye gazeti la UDAKU linaloendeshwa kwa hisia na mitazamo ya watu fulani..