Yanayojiri Katika Mkutano wa Dr. Slaa Igunga

Yanayojiri Katika Mkutano wa Dr. Slaa Igunga

Hivi rambi rambi za mwangosi uliiba £ ngapi?


Alikwapua zote.... Hakutoa hata shilingi moja.... Ukimuona anaandika ujinga jf ujue laana ya kutafuna rambirambi inamwandama na imeanzia kichwani
 
Alikwapua zote.... Hakutoa hata shilingi moja.... Ukimuona anaandika ujinga jf ujue laana ya kutafuna rambirambi inamwandama na imeanzia kichwani

Okay Ndugu saatisa mpite na mwenzako mkagonge kitu cha Gongo..ili uendelee kuandika kigongo gongo
 
Wakuu Dr. tayari kawasili kwa sasa Kamanda Waitara ndio anaongea kama muandaani rasimi wa ziara hii
 
Waitara anatoa maelezo kuwa Dr. tayari ameishafanya mikutano 46 ya hadhara na 21 ya ndani kwa ujumla wake ukitoa ile ambayo wananchi walimsimamisha kwa mapenzi yao kwa kiongozi huyu
 
Kwa sasa anaongea Mwl. Kashendye ambae amatambulisha kuwa leo Dr. anaongea na wananchi wa Igunga ambao wamedhurumiwa haki zao katika mradi wa umeme,wafanyabiashara wadogo waliolazimishwa kufumia mashine za electronic tofauti na mitaji yao pia anaongea na watumishi ambao wananyanyswa kwa kuwa tu wanaipenda na kuishabikia CDM
 
Pamoja sana mbele anayetaka ulale awaambie magamba wanalala huku raia tunauliwa, kudhalilishwa,tumefiriswa,tuachwavilema
 
Fimbo ya mnyonge ni KURA ni kauli ya Leo kwa wana Igunga
 
ona sasa akili yako? alale ili kiwe nn? mmelala cku zote ndo maana nchi yetu imekuwa hvyo ilivyo
 
Makao makuu ya Kanda kuna kituo cha haki za binadamu hivyo wananchi wamehaswa kutumia kitengo hicho kusaidiwa kisheria pale wanaponyanyashwa
 
Kwa kuheshimu dini mkutano umesimama ili kupisha waislam waswali kwani uwanja upo jirani na msikiti
 
Back
Top Bottom