Mwanzoni niliposoma nikashtuka kuwa kina nini kimbe,ni habari za chama kilichojifia nani atashtushwa sasa ama huo ambao anafukisha mtu mmoja ni mweupe kweli?
Hadithi hii inatufundisha kuwa tusiwe watumwa kama kiinchi kidogo ambacho kilikuwa masikini na sasa ni tajiri tena bila hata ya kuweka mbele lugha ya mkoloni ya kikoloni.
HOJA yako halmanusura iwe na maana lakini,ulipoanza kuingiza yale unayoyashangaa ulaya na kuyaabudu na kutaka rais afuate sala yako hapo ndo nimekuona huna hoja nzito sana,ila inaonekana unaamini maendeleo kupitia akili za wengine na hasa wazungu hapo tumepishana pole
We are not slaves of this Colonial language,Chinese President speaks their own language where are they?Economically there are better than those who swallow English words day and night,and those who have lost their identity,shame on you!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.