Nilichokiona leo Kivuko cha Kigamboni

Nilichokiona leo Kivuko cha Kigamboni

Tatizo la bongo ni kwamba, hata uibe mabilioni kama uko serikalini utahamishwa kituo cha kazi tu. No more.
 
I am confused. Anapo scan ticket moja tu kati ya kumi, hao wengine 9 wanaingiaje? Mimi nadhani hiyo scanner ndo pia inafungua gate ili mtu mmoja mmoja apite, au sielewi kitu??
 
Wewe n mpuuuz seems ndo umeanza vuka kigambon leo...asubh panakuwa na watu wengi sana aseme aanze mulka moja moja tutakeshaaa... iile riisiti kila itokapo tayar ishakuwa kwa sytem tayar.
 
Kuna watu wanaishi kwenye mijengo mikubwa na kuendesha magari ya kifahari kwa kuwanyonya wenzao. Serikali ipo.
 
I am confused. Anapo scan ticket moja tu kati ya kumi, hao wengine 9 wanaingiaje? Mimi nadhani hiyo scanner ndo pia inafungua gate ili mtu mmoja mmoja apite, au sielewi kitu??

Ndugu, acha kuchanganya habari. Kilichopo pale Feri ya Kigamboni siyo unachokifikiria wewe. Hakuna geti linalofunguka kielektronic!
 
Leo wakati nipo ferry nimeshuhudia kitu cha kusikitisha, licha rais wetu anajitahidi kudhibiti rushwa na kukusanya mapato, lakini kuna watz wachache wamethibitisha mtoto wa haramu hata umfiche ndani ya chupa atatoa kidole tu ili kuonyesha uwepo wake.

Ni hivi, nimefika ferry mwanzoni kabisa nakutana na geti na kibanda cha kukatia tiketi, nikalipa nauli nikapewa tiketi iliyochapwa kwa kompyuta. Nikaingia ndani nakutana na kijana ambaye anakusanya zile tiketi na kuzimulika ( jina silijui) na kitu kama sensor fulani ambazo husoma zile tarakimu na kuziingiza kwenye mfumo wa ukusanyaji mapato pale kivukoni,

Sasa huyu jamaa anachokifanya ni kukusanya tiketi kama kumi halafu anaimulika ya juu tu halafu anazichana, kwa hiyo zile tisa za chini zinakuwa hazijaingizwa kwenye kompyuta kuonyesha kuwa tiketi zile zimenunuliwa.

Nashauri kuwe na mashine ambazo ikitoa tiketi isome moja kwa moja bila kuhitaji mtu wa pili wa kumulika kama zile za madukani.
ninyi ndo mnaolisaidia taifa.Cc Manyerere Jackton
 
Leo wakati nipo ferry nimeshuhudia kitu cha kusikitisha, licha rais wetu anajitahidi kudhibiti rushwa na kukusanya mapato, lakini kuna watz wachache wamethibitisha mtoto wa haramu hata umfiche ndani ya chupa atatoa kidole tu ili kuonyesha uwepo wake.

Ni hivi, nimefika ferry mwanzoni kabisa nakutana na geti na kibanda cha kukatia tiketi, nikalipa nauli nikapewa tiketi iliyochapwa kwa kompyuta. Nikaingia ndani nakutana na kijana ambaye anakusanya zile tiketi na kuzimulika ( jina silijui) na kitu kama sensor fulani ambazo husoma zile tarakimu na kuziingiza kwenye mfumo wa ukusanyaji mapato pale kivukoni,

Sasa huyu jamaa anachokifanya ni kukusanya tiketi kama kumi halafu anaimulika ya juu tu halafu anazichana, kwa hiyo zile tisa za chini zinakuwa hazijaingizwa kwenye kompyuta kuonyesha kuwa tiketi zile zimenunuliwa.

Nashauri kuwe na mashine ambazo ikitoa tiketi isome moja kwa moja bila kuhitaji mtu wa pili wa kumulika kama zile za madukani.
Jipu Kuu.
 
hujui kibachoendelea wewe. ile inacheki tiket ni original au sio. kwahiyo yy anachofanya anacheki moja tuu akiona ipo fresh badi anajipa hope zite zipo poa
 
Hasa wanapokuwepo watu wengi huwa wanazikusanya, mimi binafsi alichosema mtoa mada nimewahi kukiona kwa macho, hasa traffic inapokua kubwa, lakini nimewahi kuona wanazichana. Sasa kama wanaenda kuuza tena sina uhakika!
Wakikusanya bila kuchana wanauza tena,hicho ndio huwa kinafanyika lakini scanning ni mbadala wa kuchana ili tiketi isitumike tena na wewe ulienunua,yaani usije ukampa mwingine akaitumia.
 
Back
Top Bottom