Mbowe timiza ahadi yako, Jiuzulu

Mbowe timiza ahadi yako, Jiuzulu

CDM ni joint stock kampani ,ana share zake he is still the owner
 
Naona mnatuletea baadhi ya mijadala ambayo haina maana humu ukumbini.
 
Kama ccm ilokuwa inaahidi bila kutekeleza ahadi zake bila utekelezaji we we unayen g'ang'ania Mbowe ajiuzuru una lako jambo ndani ya Chadema inaonekana kuwepo kwake kunakunyima usingizi M/ Kiti achana na wajinga kama hao
Mambo ya CCM yanaingiaje kwenye ahadi za Mbowe?

Ninamkumbusha Mbowe ahadi yake aliyoitoa kwa utashi wake bila shinikizo lolote!

Ahadi ni deni!
 
Eeni ninyi wana wa Lumumba mliolaaniwa, mmekuwa wasemaji wa kuu wa CDM leo?
Mliambiwa mbowe na chama chake hakikushinda uchaguzi? Kama umeya wa jiji mpaka leo mnataka vita, je huo uraisi ingekuwaje?
Mshukuru mungu Lowasa nimpenda amani. Kama angekuwa Dr Slaa asingekubali na wafuasi wake wangekinukisha hapo ulipo usingekuwepo.
Kwetu japan tunasema; Omae atama gucha gucha
 
Kama ccm ilokuwa inaahidi bila kutekeleza ahadi zake bila utekelezaji we we unayen g'ang'ania Mbowe ajiuzuru una lako jambo ndani ya Chadema inaonekana kuwepo kwake kunakunyima usingizi M/ Kiti achana na wajinga kama hao
G
Samahani ndugu, hivi unamaanisha kwamba ni halali CCM kuendelea kubaki madarakani hata kama hawatekelezi ahadi kama Mbowe?
Hapo ndio naona Opposition yetu ni HOPELESS kabisa maana kila wakikosolewa ya kuchukua CHALLENGE wao hujifananisha na CCM.
Kama opposition haina tofauti na ccm basi bora tuiache ccm itawale milele
 
Vipi ahadi ya Maisha Mabovu kwa Kila Mtanzania! Mlitimiza? Go Kamanda Mbowe
Hiyo ahadi ya mgombea wa CCM inahusiana nini na ahadi ya Mbowe?

Kwa hiyo kama CCM wakitoa ahadi na Mbowe na yeye hutoa ahadi hata kama hataitimiza!

Ahadi ni deni!
 
Kamanda wa anga alibadili gia angani akaangusha baadhi ya abilia wake kama akina Slaa na akapokea WACHAWI na WEZI WA KURA kutoka Ccm kama.
Anga ilichafuka baada ya kumuweka FISADI ndie aipeperushe bendera ya Uraisi.Chadema ikauzwa kwabei cheeee!!.
Unampa uongozi FISI awaongoze MBUZI,kadi nachana nanyongea GANJ*** napata ghadhabu za propaganda za MANYUMBU WA§£!\!€£.
Kilicho mbele yetu kwa sasa anatakiwa atimize ahadi yake.

Ahadi ni deni!
 
Naona mnatuletea baadhi ya mijadala ambayo haina maana humu ukumbini.
Jisemee mwenyewe kwa sababu kile unachokiona wewe hakina maana kwa wengine kina maana sana.

Ni vizuri Mbowe akatikiza ahadi yake!

Ahadi ni deni!
 
Yaliosemwa hadi June 2015 yamepitwa na wakati CDM pya imezaliwa July 2015 Trh 22 baada ya kupata Mgombea wa kiti cha Urais
Kwamba CHADEMA mpya imezaliwa!

Siwezi kukataa kwa sababu hata moto imekuwa Mabadiliko Lowassa, Lowassa Mabadiliko!

Ni vizuri pia Mbowe akatikiza ahadi yake!
 
Mumemaliza? Haua tandika mkeka mlale na muendelee kuota hiyohiyo ndoto
 
Back
Top Bottom