Recent content by Lifer

  1. L

    Kagera: Kimondo chadaiwa kudondoka Bukoba

    Ahsante sana kwa ufafanuzi ndugu Magonjwa Mtambuka. Je ya wezekana mpaka sasa hakuna hata picha moja iliyoweza patikana ya hichi Kimondo? Hili ni tukio la kihistoria, natamni sana kuona walau picha moja ya hiki "Kimondo"
  2. L

    Kagera: Kimondo chadaiwa kudondoka Bukoba

    Does anyone know if the photo below shared by the Dailynews of Tanzania is of the actual Meteorite that supposedly landed somewhere in Kagera? Experts looking into meteorite incident
  3. L

    Wasauzi wajitoa kwenye machimbo ya Tanzanite Wauza Hisa Zao

    Ohh wabongo tuna majungu ohh acha ukuda, ohh sina hoja. Mbona kimenuka sasa??....Simbachawene kaachia ngazi kwa ajili ya hili la Tanzanite One. Back then nilisema swali la msingi ni "Sky Associates ni akina nani?" Nikapigwa vijembe... Ni kina nani hawa walioweza kumsukuma Simbachawene aka...
  4. L

    Hili la January Makamba ni hatari zaidi

    January seems to lack appreciation of the time tested concept of "Separation of Church and State" and the need to maintain a secular state. I suspect though, this proposal of his, is just a ploy to appease and appeal for the support of all faiths and religions, in his quest for the highest...
  5. L

    Wasauzi wajitoa kwenye machimbo ya Tanzanite Wauza Hisa Zao

    Taarifa rasmi ya Serikali ya JMT kuhusu swala husika.
  6. L

    Wasauzi wajitoa kwenye machimbo ya Tanzanite Wauza Hisa Zao

    TANZANIA EXPLORATION & PRODUCTION n°335 - 23/12/2014 Richland brings Sky Associates into tanzanite deal After several weeks of bargaining, Richland Resources Ltd has reached an agreement to sell its firm TanzaniteOne Ltd to Sky Associates Group Ltd. London-registered Richland had been the...
  7. L

    Kampuni ya tanzanite one yafilisika kwa madeni, watanzania wa arusha wainunua

    TANZANIA EXPLORATION & PRODUCTION n°335 - 23/12/2014 Richland brings Sky Associates into tanzanite deal After several weeks of bargaining, Richland Resources Ltd has reached an agreement to sell its firm TanzaniteOne Ltd to Sky Associates Group Ltd. London-registered Richland had been the...
  8. L

    Wasauzi wajitoa kwenye machimbo ya Tanzanite Wauza Hisa Zao

    Wameuza hisa zao kwa kampuni iitwayo "Sky Group Associates Ltd" Msauzi asema serekali ya Tanzania imeshindwa kuhakikisha usalama wa mgodi wao (block c) na pia sheria mpya ya madini haina tija kwao Stamico wabaki kwenye mataa na asilimia 50% yao Swali la msingi hapa ni je hii kampuni...
  9. L

    How do i get this House design?

    Ili kupata kibali cha ujenzi kutoka manispaa, mwenye hiyo nyumba uliyoona, lazima aliwasilisha michoro (ramani nakadhalika) katika manispaa husika ya eneo hilo. Kwa hiyo kujibu swali lako, waweza kupata hiyo ramani kutoka manispaa husika. Utahitaji at least kujua namba ya kiwanja/Kitalu nyimbo...
  10. L

    Maige tunataka uturudishie Twiga wetu na wale Faru wa JK

    Nina maana watanzania wote waliokerwa na kusononeshwa na hili jambo.
  11. L

    Maige tunataka uturudishie Twiga wetu na wale Faru wa JK

    Since yale malori yake yanaingiza US$ 20,000 kila mwezi, anauwezo kabisa wa kutulipa fidia ya Kifaru wetu na mtoto wake. ndani ya miezi mitano. Nime research online, Cost ya kifaru mmoja na pembe zake on the black market, ni roughly US$ 50,000.
  12. L

    Maige tunataka uturudishie Twiga wetu na wale Faru wa JK

    Ezekiel Maige uliyekuwa Waziri wa Mali asili na utalii: Chini ya uongozi wako, mwaka jana (2011) Tanzania tuliibiwa Twiga wanne (nembo ya taifa "national heritage") waliotoroshwa kwa kupitia uwanja wa ndege wa Kilimanjaro kwa vibali batili vilivyotoka wizara ya maliasili na utalii. Kama waziri...
  13. L

    Jinsi Richmond/Dowans walivyoizunguka TANESCO na Taifa

    Kudos to you Mwanakijiji for the time you have taken to dissect this matter.
  14. L

    Hoteli ya Mgonja? Parrot Hotel

    Jamani wana jamvi poleni kwa kusubiri. Sijafa, sijanyamazishwa wala sijakatiwa "mshiko" ili nikae kimya.Issue ni kwamba, mpaka sasa sijaweza ku verify asilimia mia kwa mia taarifa/habari nilizonazo. Kama ningeendelea na hii stori inge bidi nitumie maneno kama "it is alleged", "It is said"...
  15. L

    Jamaa Wapiga Electronic Fraud TRA US$ 5 Million!

    How Web criminals target taxman Posted Date:: 2009-09-21 12:36:00 By Mkinga Mkinga Investigators from the Financial Intelligence Unit, have revealed that inordinate hours taken by Tanzania Revenue Authority personnel to clear tax payments made through electronic transfers...
Back
Top Bottom