Kuna Bwana moja aliwahi niambie MZUNGU NI MUNGU....
Nikambishia.
Mwisho wa mabishano hayo akasema kwenye neno "Mzungu" ukiitoa "Z" linabakia neno lipi...!!!
Mjadala ikaishia hapo.
Mbona ile ni penati halali.
Beki baada yakuukosa mpira kwa kichwa akaamua kuugonga kwa mkono ili usiende kuletaMadhara golini.
Ni penati halal na maamuzi halali ya Refarii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.