Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,191
- 4,103
Mamlaka ya hali ya hewa (TMA) imetoa tahadhari ya matarajio ya hali mbaya ya hewa itakayoambatana na mvua kubwa kwa siku tano.
Mikoa ya Dar es Salaam, Tanga, Pwani, Mtwara, Lindi pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba mvua hiyo huenda ikaathiri shughuli za uvuvi na usafirishaji.
Mikoa ya Dar es Salaam, Tanga, Pwani, Mtwara, Lindi pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba mvua hiyo huenda ikaathiri shughuli za uvuvi na usafirishaji.