mkuu umenena,kwan zitto n kiongoz chdm sasa magamba wana maslahi gan naye mpaka washabikie yale anayo yafanya? Ndiyo maana tunasema magamba hawakuzichanga vzuri karata zao kwenye hili.
Mkuu mlemo: 2po pamoja haya mambo n moja ya changamoto kwa wana chdm,hapa chdm ilipo fika ni kwa mchango mkubwa wa hawa vionzi.ndiyo maana nasema kuna msukumo wa upande wa pili wanao upata hawa wana chdm wanao jifanya hawaon maendeo makubwa ya chama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.