Moja na moja mwishoni nhuwa mbili! CHADEMA ni sehem inayotoa fursa kwa wote mkuu hata wewe unakaribishwa,ukijiunga tu,tutatupia habari zako hapa.Nyie cdm mnahangaika kweli? Who is Maugo? Mtu mmoja kujiunga na chama unapost. Hivi humo kichwani kumetimia? Lete maada za msingi humu.
Nyie cdm mnahangaika kweli? Who is Maugo? Mtu mmoja kujiunga na chama unapost. Hivi humo kichwani kumetimia? Lete maada za msingi humu.
Atapewa kitengo cha lwakatare cha kuandaa sumu na kulisha watu
Atapewa kitengo cha lwakatare cha kuandaa sumu na kulisha watu
Bondia machachari nchini Mada Maugo jana alijiunga na chadema. Akikabidhiwa kadi na Mh Mabere Marando Maugo alisema Chadema ndicho chama pekee kitakachoikomboa Tanzania.
Huu ndiyo mgomo wa kweli ninaoutazamia. Ukombozi wa kweli wa taifa hili utafanikiwa pale watu wote wakijitambua na kujitokeza kwa wingi kushiriki katika siasa, kupiga kura na kugombea nafasi mbali mbali za uongozi.
Wasanii wa Muziki, filamu, mabondia, wachezaji wa mpira n.k. endeleeni kujitokeza kwa wingi kupigania haki zenu.
ahsante kwa taarifa kamanda,bado tunasubiri tu mjomba mrisho mpoto amalizie kazi ili 2015 njia nyeupe dr.slaa magogoni.bondia machachari nchini mada maugo jana alijiunga na chadema. Akikabidhiwa kadi na mh mabere marando maugo alisema chadema ndicho chama pekee kitakachoikomboa tanzania.
Source: Tanzania daima jumapili uk 23