Wengine hamjitambui mzabuni alikuwa nani? He alikwepa kodi acheni ubaguzi haya mambo yapo polisi waacheni wenyewe mnatoa hukumu ya nn? Mnajua ashtakiwaje? Msituletee chuki tz kama hatakuwa na kosa ataachiwa akiwana kosa atafungwa
Inhekuwa irag au Afghanistan au Libya mida hii kinawaka nk nao wapo makini kichizi nawakubali ajaribu aone kaonjeshwa kidogo tu ile manuary eti imegongana na meli ya mizigo manuari? Nacheka kwa dharauuuuu? Ajaribu aone mpaka washngtoni inapotea fasta huo mtambo unaojengwa utaangaamia subirini muone
Wao north si wajinga kama tunavyofikiri wangeogopa wangewaambia USA waende wakague silaha kule ye USA ana vinu 80 vya nyuklia kwake kwann kwa wenzie? Ikumbukwe Korea kusini hawatakaa salama hadi uchina rasyote ile vita inaweza panuka hadi mashariki ya mbali kule na kumbuka nchi za kiarabu nao...
Acheni muv iendeleee hizo nyuklia ninahakika zitatua marekani harakassna kuna nyambizi 12 za Korea ambazo marekani hawaziona juzi walistuka walipofata kwa ndege maalumu zikatoweka, hivi sasa zipo beneti na nyambiz za USA nimepenyezewa aliyeko north Korea ndomana kiburi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.