Chukua "like" ngoja nitoke kidogo njema ya hoja. Mimi ningependa pia viongozi wakati wa kutambulishwa, Kuandikwa kwenye magazeti, TV na radio zile title zao za kutokana na elimu zao zisitumike kabisa. Zitumike za vyeo walivyonavyo mfano badala ya kumwita au kuandika Mheshimiwa waziri wa mambo ya...
Well this will have a minimal or no impact at all simply because the war on terror today needs a series of persistent efforts to dismantle networks of violent extremism
Sioni ulazima wa TBC kuonyesha mechi kila wakati timu ya taifa inapokuwa katika michuano, tuna chaneli nyingi Tanzania ambazo zinaweza kufanya jambo hilo. Uelewa wako mdogo unadhani ni jukumu la TV ya serikali tu.
Nadhani itapendeza TV ya taifa ibaki na maswala ya jamii. Ya michezo yafanywe na TV zingine. Tanzania ya leo si ya jana kila kitu serikali. Kinachotakiwa ni uboreshaji wa huduma zake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.