Miunda
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 530
- 183
Miunda;
Usikitamke chama hicho tena mkuu. Wanasema atii, Magu hajachangiwa hata senti moja na mfanyi biashara. Wakati tunajua kuwa hawa ndio walio mfadhili akaingia Ikulu. Sasa unataka wafanyeje kama kurudisha fadhila?
Matokeo yake ni mkuu wa mkoa akamlilie ukiwa kuwa masela wameng'am. Hakuna uwezo wa kumgusa mteule. Sasa atakuwa meya wa jiji ndo mtalijua jiji
Haha, pole yetu