Dah kama ni shu za kutema yai mazeee mbona mtoni huwa wanaenda tuu huko huwa wanainteract vp waheshimiwa mi naona Yai halimati saana but yai it like kiswahili kinachomata ni IQ ya mtu na uzalendo mazee tukibakia kuangalia kutema yai kuna watu hawkufika Elimu ya juu but wana strategies na...
Ila hamna ishu ya kushangaza kama mshkaji yupoo soreus afnye mambo tuu kwaajili ndoa nyingi mkitokeana labda iwe siri ukipandamo kanisa likistukia unatengwa ila mkikamilisha mipango mnarudishwa kundini kiaina so angalia kama haupo soreus mzeee
Nimeipenda wadau hata sisi na shule zetu wanatuhadaa na tunakubali bora mshikaji kajitutumua mzee kaeleza kile alichonacho na wakamuita kutestify na kawaimpres kapata kitengo so .....siri ya mafanikio ni kujiamini mzee kajiamini
kapata dili Congratulation ziende kwa yeye Wabongo bado tuna...
Do huyo dogo alilemewa na msongo wa mawazo kuhusu shule
ndio maana huyo jamaa akatake advantage ya weeknes point ili
apige mambo yetu yale sister anatakiwa aongee na dogo wake mara
mbili pia amuiotie mumewe wazee wamkanye cha msingi asijaribu lipiza kisasi
kama ilivyo kawaida ya wadada...
Arooo check about exceptionist wazeee Wa-UK pia kuna tofauti sio
R.....A
Check pia haya
Rugaijam
Rweyemam
Rugaimukam
Rweyobama(Sorry nadhani hiri rimetokana na Obama pia unaweza kuongeza samahani kama nimekuudhi yaani Im sorry i mean samahan)
You may addd another au unaweza ongeza...
Atawapa baadae lakini naona utafiki huu wa kifukunyuku ulifanyika
kabla baadhi ya vyuo havijaanzishwa kwa kuwa umekaaa kizeeekizee
tena Jizeee lililofulia lipo kijiwe linashindana Usela na madogo yanayochipukia
Lakini its funi mi mwenyewe nipo kwenye College mojawapo ila si kiivyo
fundi...
poa kuhusu ishu za raid controller nenda kwenye bios setting allaf set hiyo hard disk nyingine kama slave kama ikikataa check hiyo drive ya 200gb ndiyo uiwekeee OS alaf
uionganishe hiyo nyingine kama slave ila inategemea hiyo yoa 200gb ni external au internal hard disk m2mzima ka ni hizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.