Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
MSICHANA mmoja wa Shule ya Sekondari Mbezi Beach jijini Dar es Salaam jana alileta kituko cha mwaka baada ya kufumaniwa na dada yake akijivinjari na shemeji yake chumbani kwa dada yake huyo mkazi wa Magomeni jijini Dar es Salam. Msichana huyo anayesoma kidato cha tano katika Shule ya Sekondari Mbezi Beach alifumaniwa jana akiwa katika zoezi la kujaribu kumpa uroda shemeji yake ambaye ni mume wa dada yake binamu.
Ama kweli siku za mwizi ni arobaini wahenga walisema, msichana huyo aliyetambulika kwa jina la Joyce Asenga alikuwa akiishi na dada yake binamu aliyejitambulisha kwa jina moja la Mary,walikuwa wakiishi huko Magomeni Makanya eneo linalojulikana Kanisani jijini Dar es Salaam.
Akiongea na NIFAHAMISHE katika kituo cha polisi dada wa msichana huyo alisema jana alipokuwa kazini walipata taarifa kuwa kuna mwenzao mmoja alipatwa na matatizo alifiwa na mzazi wake na taarifa hizo kufikishwa kazini hapo na ilibidi baadhi ya wafanyakazi kwenda eneo la msibani kwa kumfariji mwenzao huyo.
Alisema wakati anataka kuelekea msibani huko alijikuta hayupo katika mazingira ya kwenda msibani mana alitinga sketi fupi maarufu kama mini skirt hali ambayo asingeweza kwenda nayo kwenye msiba huo.
Alisema ilimladhimu akimbie mara moja nyumbani kwake ili akachukue kanga ama kitenge ili aweze kujihifadhi aeleke msibani huko maeneo ya Kigamboni.
Alisema wakati anafika nyumbani kwake hapo alijua kama kawaida kusingekuwa na mtu mana anaishi na mumewe na mdogo wake huyo, alifungua geti ulifunguka.
Sasa wakati anajitayarisha achukue funguo wa kuingilia chumbani kwake alishangaa mlango kuwa wazi alijua labda kuna wezi walivamia na kuiba.
Ghafla alipofungua mlango huo ndipo alipomkuta mumewe na mdogo wake huyo wakiwa chumbani hali ambayo ilifanya ashangae mana asubuhi waliongozana wote kila moja akiwa anaenda kazini na msichana huyo kuelekea shuleni.
Alisema alichokifanya ni kutoka nje kufunga mlango huo wa chumbani na kutoka na kufunga geti na kutaarifu baadhi ya ndugu waliopo jirani ili waweze kuwakuta kwa ushahidi zaidi na kisha kukimbilia kituo cha polisi.
Aliomba msaada wa kituo cha Polisi kilichopo Magomeni ili wawachukue wawaweke selo.
Akihojiwa na askari kituoni hapo msichana huyo alisema kuwa hajawahi kufanya nae kitu chochote kwa kuwa shemeji yake huyo alikuwa anamuhitaji kewa muda mrefu nay eye alikuwa ahitaji kuwa nae kimapenzi, ila siku hiyo shemeji yake huyo alimpa mkwara kuwa kama asingemkubalia basi asingeweza kuendelea na masomo yaani asingeweza kumsaidia tena kumlipia ada.
Ndipo alipojitosa kwa siku hiyo ili aweze kumridhisha ili aweze kuendelea na shule ambayo alitegemea ndiyo ingekuwa mkombozi wake katika maisha.
Hata hivyo dada huyo aliyefumania alisema na kuwataka polisi wamuweke msichana huyo na mume wake huyo ndani ili waweze kupata adabu kwa kitendo chao cha utovu wa nidhamu walichokifanya chumbani kwake.
Unajua hatukatai wname ni ewachafu sana tunajua hilo ila kwea nini afanye mapenzi na mdogo wangu chumbani kwangu angeenda sehemu nyingine hata gesti hii ni dharau alisema
Alisema mume wake huyo ni mfanyakazi wa Wizara ya Ardhi huku yeye mwenyewe akiwa anafanyia kazi Shirika la Hifadhi ya Jamii [NSSSF]
Hata hivyo dada huyo hakuwa tayari kutaja jina la mumuwe kwa kuwa alidai angedhalilika zaidi.
NIFAHAMISHE ilipojaribu kufanya mahojiano na baba huyo haikufanikiwa mana hakuwa tayari kuongelea kitu chochote dhidi ya tukio hilo.
Hivyo NIFAHAMISHE ilipoondoka eneo la kituoni hapo waliacha waharifu hao wakiwa bado kituoni hapo na dada huyo kudai kuwa kwa kitendo alichokifanya mume wake huyo hayuko tayari kuishi nae na mdogo wake huyo atamrudisha kwa wazazi wake na atafute mfadhili mwingine wa kumsomesha.
Ama kweli siku za mwizi ni arobaini wahenga walisema, msichana huyo aliyetambulika kwa jina la Joyce Asenga alikuwa akiishi na dada yake binamu aliyejitambulisha kwa jina moja la Mary,walikuwa wakiishi huko Magomeni Makanya eneo linalojulikana Kanisani jijini Dar es Salaam.
Akiongea na NIFAHAMISHE katika kituo cha polisi dada wa msichana huyo alisema jana alipokuwa kazini walipata taarifa kuwa kuna mwenzao mmoja alipatwa na matatizo alifiwa na mzazi wake na taarifa hizo kufikishwa kazini hapo na ilibidi baadhi ya wafanyakazi kwenda eneo la msibani kwa kumfariji mwenzao huyo.
Alisema wakati anataka kuelekea msibani huko alijikuta hayupo katika mazingira ya kwenda msibani mana alitinga sketi fupi maarufu kama mini skirt hali ambayo asingeweza kwenda nayo kwenye msiba huo.
Alisema ilimladhimu akimbie mara moja nyumbani kwake ili akachukue kanga ama kitenge ili aweze kujihifadhi aeleke msibani huko maeneo ya Kigamboni.
Alisema wakati anafika nyumbani kwake hapo alijua kama kawaida kusingekuwa na mtu mana anaishi na mumewe na mdogo wake huyo, alifungua geti ulifunguka.
Sasa wakati anajitayarisha achukue funguo wa kuingilia chumbani kwake alishangaa mlango kuwa wazi alijua labda kuna wezi walivamia na kuiba.
Ghafla alipofungua mlango huo ndipo alipomkuta mumewe na mdogo wake huyo wakiwa chumbani hali ambayo ilifanya ashangae mana asubuhi waliongozana wote kila moja akiwa anaenda kazini na msichana huyo kuelekea shuleni.
Alisema alichokifanya ni kutoka nje kufunga mlango huo wa chumbani na kutoka na kufunga geti na kutaarifu baadhi ya ndugu waliopo jirani ili waweze kuwakuta kwa ushahidi zaidi na kisha kukimbilia kituo cha polisi.
Aliomba msaada wa kituo cha Polisi kilichopo Magomeni ili wawachukue wawaweke selo.
Akihojiwa na askari kituoni hapo msichana huyo alisema kuwa hajawahi kufanya nae kitu chochote kwa kuwa shemeji yake huyo alikuwa anamuhitaji kewa muda mrefu nay eye alikuwa ahitaji kuwa nae kimapenzi, ila siku hiyo shemeji yake huyo alimpa mkwara kuwa kama asingemkubalia basi asingeweza kuendelea na masomo yaani asingeweza kumsaidia tena kumlipia ada.
Ndipo alipojitosa kwa siku hiyo ili aweze kumridhisha ili aweze kuendelea na shule ambayo alitegemea ndiyo ingekuwa mkombozi wake katika maisha.
Hata hivyo dada huyo aliyefumania alisema na kuwataka polisi wamuweke msichana huyo na mume wake huyo ndani ili waweze kupata adabu kwa kitendo chao cha utovu wa nidhamu walichokifanya chumbani kwake.
Unajua hatukatai wname ni ewachafu sana tunajua hilo ila kwea nini afanye mapenzi na mdogo wangu chumbani kwangu angeenda sehemu nyingine hata gesti hii ni dharau alisema
Alisema mume wake huyo ni mfanyakazi wa Wizara ya Ardhi huku yeye mwenyewe akiwa anafanyia kazi Shirika la Hifadhi ya Jamii [NSSSF]
Hata hivyo dada huyo hakuwa tayari kutaja jina la mumuwe kwa kuwa alidai angedhalilika zaidi.
NIFAHAMISHE ilipojaribu kufanya mahojiano na baba huyo haikufanikiwa mana hakuwa tayari kuongelea kitu chochote dhidi ya tukio hilo.
Hivyo NIFAHAMISHE ilipoondoka eneo la kituoni hapo waliacha waharifu hao wakiwa bado kituoni hapo na dada huyo kudai kuwa kwa kitendo alichokifanya mume wake huyo hayuko tayari kuishi nae na mdogo wake huyo atamrudisha kwa wazazi wake na atafute mfadhili mwingine wa kumsomesha.