Recent content by Levi Ackerman

  1. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Njoo tu-chat HAPA...

    Unajua tu EFOOTBALL sio 😅
  2. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Umeshawahi kukata tamaa ya maisha? Ipi ilikuwa sababu

    Maisha yanavunja sana mioyo ukiwa weak i swear una RIP. nakumbuka mwaka fulani huko nyuma nlikua chuo × wakati niko final sikupata mkopo ko ada ni suala la wazazi sasa kipindi hicho ada nlio kua nimepewa nawazazi Kuna matatizo nlipata nkalipa kwa pesa ya ada. Mda wa UE sijufanya na wazazi...
  3. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Naombeni solution

    Asante
  4. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Naombeni solution

    Asante sana mkuu nimeichukua hii
  5. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Kubababake! Ujerumani hatuna matani hata kidogo! Lazima tuwafunge

    Dakik ya 90 Germany anatia chuma ya pili 🙌🏾
  6. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Naombeni solution

    Hii hali hua inaniwazisha sana, lakini kuhusu marafiki mimi sio muumini sana wa kujenga urafiki, napenda kuwa mimi zaidi.
  7. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Naombeni solution

    Daah ninawale watu ambao hua nasalimiana nao tu mkuu
  8. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Naombeni solution

    Umeshapiga bia mkuu ?
  9. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Naombeni solution

    Mshana Jr nadhani utakua na chakunipa hapa kijana wako
  10. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Naombeni solution

    Unamaana gani mkuu
  11. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Naombeni solution

    Nakua mzito sana kureply sasa nadhani sometimes nnae ongea nae anaweza kuhisi nashindwa kureply kwasababu labda nlikua simsikilizi
  12. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Naombeni solution

    Asante mkuu
  13. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Naombeni solution

    Ujue hii hali I inataka iwe chronic. Kuna time hua nawaza sana na hali hii nliyo nayo hivi ntaweza kumkemea mtu kuhusu swala flani baya ambalo anaweza akafanya?. Naweza kumuongoza mwanamke ipasavya na kua supportive .? Naweza kurun mradi mzito na nikawa mtu nnae tegemewa kimawazo na watu...
  14. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Naombeni solution

    Nahisi little eren yieger ananifaa zaidi mana nna self conflict between just do it they don't care, and don't do it they will talk about it.
  15. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Naombeni solution

    Asante mkuu nimekupata
Back
Top Bottom