Recent content by Levi Ackerman

  1. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Naombeni solution

    Asante
  2. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Naombeni solution

    Asante sana mkuu nimeichukua hii
  3. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Kubababake! Ujerumani hatuna matani hata kidogo! Lazima tuwafunge

    Dakik ya 90 Germany anatia chuma ya pili 🙌🏾
  4. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Naombeni solution

    Hii hali hua inaniwazisha sana, lakini kuhusu marafiki mimi sio muumini sana wa kujenga urafiki, napenda kuwa mimi zaidi.
  5. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Naombeni solution

    Daah ninawale watu ambao hua nasalimiana nao tu mkuu
  6. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Naombeni solution

    Umeshapiga bia mkuu ?
  7. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Naombeni solution

    Mshana Jr nadhani utakua na chakunipa hapa kijana wako
  8. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Naombeni solution

    Unamaana gani mkuu
  9. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Naombeni solution

    Nakua mzito sana kureply sasa nadhani sometimes nnae ongea nae anaweza kuhisi nashindwa kureply kwasababu labda nlikua simsikilizi
  10. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Naombeni solution

    Asante mkuu
  11. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Naombeni solution

    Ujue hii hali I inataka iwe chronic. Kuna time hua nawaza sana na hali hii nliyo nayo hivi ntaweza kumkemea mtu kuhusu swala flani baya ambalo anaweza akafanya?. Naweza kumuongoza mwanamke ipasavya na kua supportive .? Naweza kurun mradi mzito na nikawa mtu nnae tegemewa kimawazo na watu...
  12. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Naombeni solution

    Nahisi little eren yieger ananifaa zaidi mana nna self conflict between just do it they don't care, and don't do it they will talk about it.
  13. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Naombeni solution

    Asante mkuu nimekupata
  14. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Naombeni solution

    Haha mimi shida yangu nakua msikilizaji tu kuchangia kwangu ni kidogo mno, unaweza ukahisi labda nlikua sikusikilizi
  15. Levi Ackerman

    JamiiForums Tanzania Naombeni solution

    Nimepoteza sana vitu vingi. Mwaka flani nliwahi kwenda kwenye interview flani ilikua ni kazi ya kawaida tu lakini kutokana na ile anxiety nilishindwa kujieleza vile ipasavyo nahisi ile kazi nilipoteza kwasababu ya hii hali. Sometimes naweza nikawa nipo kwenye conversion na mtu lakin najikuta...
Back
Top Bottom