Lakin sio sahihi kubariki dhambi!?
Na kam ndio hivyo basi wale wanaweza barikiwa kama viumbe wa Mungu kwa rehem na sio kwa kuhalalisha matendo yao.
Basi mbna kam hata wakiwa wanaenda makanisan hko kubarikiw baadhi huvaa bado manembo yao yakam kuji proud wako LGBTQ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.