Recent content by Lesso Lesso

  1. Lesso Lesso

    Mimi nashauri CHADEMA ifutwe

    Tangu lini shetani akatoa ushauri mzuri kwa mja?
  2. Lesso Lesso

    Utoto mitandaoni: Mnamu-overate sana Kagame, hawezi na hatoweza

    Ameshinda kwa 7babu ya vita ya panzi, still aligaragazwa na babu na ndio maana analazimisha kuua upinzani kwa akili yake anafikiri I ataweza. Uminyaji wa demokrasia unatokana na kichapo cha 2015 hiyo ipo wazi
  3. Lesso Lesso

    Naomba kuifahamu CV ya Juma Nkamia

    ZAHANATI ZAFUNGWA KWA KUKOSA WATUMISHI-CHEMBA KWA NKAMIA ZAHANATI mbili zimefungwa kwa kukosa watumishi wa kada ya afya katika Wilaya ya Chemba mkoani Dodoma na kupelekea wananchi kusafiri umbali mrefu kufuata huduma za afya. Hayo yalibainika juzi wakati wa ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk...
  4. Lesso Lesso

    Mbunge wa upinzani kutoa zawadi kwa wagonjwa ni kosa?

    Chuki ndani ya nchi hii imeletwa na serikali iliyolaaniwa ya ccm. Hta siku machafuko na vita vikitokea ni ccm Wata7bisha. Hawataki wapinzani kuunga mkono jamii yetu. Na ndio maana nasema kuwa haya yote ni 7babu ya kipigo walichopewa na lowasa uchaguzi wa 2015. Sasa hivi hawataki maendeleo...
  5. Lesso Lesso

    Walimtosa Ben Saanane, wakaingia mkenge kwa kijana wa Makumbusho

    Wanasiasa hatuendelei haki wafuasi wenu hta kidogo
  6. Lesso Lesso

    Wanawake wa Dar kutovaa nguo ya ndani ni joto au kuna kitu wanatangaza?

    Fact wapo niliowahi kuwa uliza wakasema ni joto mno
  7. Lesso Lesso

    Nani anagharamia matumizi ya Lema, Msigwa na Mbowe huko Nairobi?

    Hao ni wabunge wana mishahara.
  8. Lesso Lesso

    Naomba kuifahamu CV ya Juma Nkamia

    Diploma of mass communication udsm.
Back
Top Bottom