Ameshinda kwa 7babu ya vita ya panzi, still aligaragazwa na babu na ndio maana analazimisha kuua upinzani kwa akili yake anafikiri I ataweza. Uminyaji wa demokrasia unatokana na kichapo cha 2015 hiyo ipo wazi
ZAHANATI ZAFUNGWA KWA KUKOSA WATUMISHI-CHEMBA KWA NKAMIA
ZAHANATI mbili zimefungwa kwa kukosa watumishi wa kada ya afya katika Wilaya ya Chemba mkoani Dodoma na kupelekea wananchi kusafiri umbali mrefu kufuata huduma za afya.
Hayo yalibainika juzi wakati wa ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk...
Chuki ndani ya nchi hii imeletwa na serikali iliyolaaniwa ya ccm. Hta siku machafuko na vita vikitokea ni ccm Wata7bisha. Hawataki wapinzani kuunga mkono jamii yetu. Na ndio maana nasema kuwa haya yote ni 7babu ya kipigo walichopewa na lowasa uchaguzi wa 2015. Sasa hivi hawataki maendeleo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.