Siasa za kikenya!balancing!katiba ijayo hawa watu wawe vetted na kamati maalum ya bunge.wasiwe wanasiasa,idadi ya wizara isizidi 12, maana kwa sasa duplication kibao.
Kaimu mhandisi wilaya TRM Kassim Shabaan ametokea kudhihirisha usemi kuwa huwezi fanya kazi halmashauri bila rushes ukaendelea.
Jamaa kapelekwa majuzi tu lakini kajenga nyumba eneo la Tagota, thamani 150m, duka kubwa vifaa vya Umeme, na kaingiza rv4 Imesajiliwa majuzi tu CSN.
Kwa ukwapuaji...
Helo JF
According to EWURA bei elekezi za mafuta zimeshuka lakini cha kushangaza kwa wana-Tarime, tunanunua mafuta kwa bei kubwa nadhani kuliko sehemu nyingine hapa nchini. Kama niliwasoma vizuri, Kigoma ndo ina bei kubwa kuliko sehemu nyingine nchi. Taarifa: Bei ya mafuta kwa Tarime ni TShs...
Missionaries brought the Bible.They ordered us to close our eyes for prayers. When we opened our eyes, they had grabbed all our fertile land, taken our minerals and in return left us with the Bible. Nenda Ulaya, brothers, you will be surprised there are some families that has never had the name...
The whole issue kuhusu Zanzibar kwa sasa ilikuwa ni total blunder! Mwl had a vision for Africa ndio maana hata akataka kuunganisha hadi Kenya & Uganda. Mwl hajataka Tanganyika iitawale Zanzibar. Nahisi angekuwa na mawazo ya kikoloni(read France, England,etc), na kwa udhaifu wa watawala wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.