Recent content by Leonileo8809

  1. L

    Ukiondoa DSM ni mikoa gani mingine imekosa kutoa Waziri na Naibu Waziri?

    Siasa za kikenya!balancing!katiba ijayo hawa watu wawe vetted na kamati maalum ya bunge.wasiwe wanasiasa,idadi ya wizara isizidi 12, maana kwa sasa duplication kibao.
  2. L

    Mhandisi Tarime kielelezo cha ufisadi tz

    Kaimu mhandisi wilaya TRM Kassim Shabaan ametokea kudhihirisha usemi kuwa huwezi fanya kazi halmashauri bila rushes ukaendelea. Jamaa kapelekwa majuzi tu lakini kajenga nyumba eneo la Tagota, thamani 150m, duka kubwa vifaa vya Umeme, na kaingiza rv4 Imesajiliwa majuzi tu CSN. Kwa ukwapuaji...
  3. L

    Lets share the wisdom of Obasanjo in " before it is too late letter" to his president.

    Too long to read.nadhani hata Jonathan hataisoma.
  4. L

    My tips to hon. Mwakyembe on TPA operations

    Mwakyembe Umeona haya ya Huyu mzalendo?
  5. L

    Halmashauri ya Wilaya ya Rorya iko taabani kifedha

    Rorya majanga.it will never take off.pmu, ujenzi wako kwenye payroll ya Lakairo.the guy claims is a business guru.he toys with cmt's mind. Kazi ipo.
  6. L

    Kigoma: CHADEMA watoa tamko kali, waapa kuendelea kumuunga mkono Zitto

    CDM msijidanganye.Tarime bygone story.Chadema vua tented image yenu: tribalism,nepotism,....etc
  7. L

    Mbunge wa CCM Luhaga Mpina azomewa kwenye mkutano wa Aggrey Mwamri Meatu. Kamanda Mawazo anahusika.

    Pole Luhaga Mpina.hata hivyo imetosha.mshukuru Chambiri kwa mikakati oliyokupa ushindi 2005
  8. L

    Wimbo wa Taifa wa Zanzibar

    Km muungano ni kwa sababu za kiusalama,kuna haja za kuuchk upya.tuvunjilie mbali huu muungano.ni mzigo.
  9. L

    Kigogo Chadema aliyetekwa afichwa

    Chadema bwana.fukuza fukuza haikuzi.inadhoofisha.kinachoshangaza hawaoni km mwisho wao umefika wajipange.
  10. L

    Kwa uhuni huu wa Fastjet haukubaliki

    Helo JF According to EWURA bei elekezi za mafuta zimeshuka lakini cha kushangaza kwa wana-Tarime, tunanunua mafuta kwa bei kubwa nadhani kuliko sehemu nyingine hapa nchini. Kama niliwasoma vizuri, Kigoma ndo ina bei kubwa kuliko sehemu nyingine nchi. Taarifa: Bei ya mafuta kwa Tarime ni TShs...
  11. L

    Mtemi Ng'wanamalundi (Mwanamalundi) - Yesu wa Afrika?

    Missionaries brought the Bible.They ordered us to close our eyes for prayers. When we opened our eyes, they had grabbed all our fertile land, taken our minerals and in return left us with the Bible. Nenda Ulaya, brothers, you will be surprised there are some families that has never had the name...
  12. L

    Nipo KIA, si kawaida

    No facts! No idea!...........................................No comment!
  13. L

    Zanzibar siyo NCHI - Jawabu ni A siyo B au C...

    The whole issue kuhusu Zanzibar kwa sasa ilikuwa ni total blunder! Mwl had a vision for Africa ndio maana hata akataka kuunganisha hadi Kenya & Uganda. Mwl hajataka Tanganyika iitawale Zanzibar. Nahisi angekuwa na mawazo ya kikoloni(read France, England,etc), na kwa udhaifu wa watawala wa...
Back
Top Bottom