Nipo KIA, si kawaida

Nipo KIA, si kawaida

Kila kukicha Zomba kila kabila linasakata dansi ya Taarabu!! Hizi zimwejaa matukio mengi si kwa God tu hata kitchen party za watoto wetu!!! Khaa sijui na wewe unawazi kwa kutumia machine gani maana Taarabu iko kabla hata ya Mzee wetu Bi Kidude sasa wewe unalinganisha na mzee wako huyo? Au ndo sifa pekee aliyo nayo nini? Ha ha ha ha!! Bado Kuduku!!
 
Ni bora kulisha mbuzi utamla nyama.Jamaa amepata rafiki wa kumkarimu xmass kwa chakula na kinywaji ameshiba badala ya kushukuru ameanza kukosoa.Akirudi kwao ataenda kusema mwenyeji wake alilala chumbani na mke wake yeye wakamwacha alale mwenyewe.

Hahahahahaha...mlerai umenifurahisha aisee.dah.
 
zomba huu ulikuwa ni uchokozi au uchokonozi?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom