Recent content by Leonard Robert

  1. Leonard Robert

    JamiiForums Tanzania Nasikitika kusikia kwamba labda Rachel Dangwa ametekwa

    sina hakika kama hawa vilaza wanaweza kwenda Japan na kuteka mtu bila kukamtwa
  2. Leonard Robert

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tuorodheshei hapa mikoa kondoo yenye watiifu ambayo ilikuwa imepoa 29 October

    mwanza..ilikuwa noma..kuna maeneo ilipita wiki bila polisi kukanyaga
  3. Leonard Robert

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz ndo anaendesha Serikali(?)

    Kumbe!
  4. Leonard Robert

    JamiiForums Tanzania GE2025 Siasa za Bukoba Mjini Kati ya Lwakatare na Kagasheki ilikuwa hatari sana ile ligi!

    Lwakatale enkangabuye..alikuwa anajua kutumia mdomo... Pia kuna ligi ya akina prof kinyondo miaka ya nyuma pale bukoba vijini
  5. Leonard Robert

    JamiiForums Tanzania Picha Hizi Za Mateso Ya Watoto Kutoka Gaza Zimenibubujisha Machozi ya Huzuni .Watanzania tutunze Amani na kuwalaani wanaotaka kuchochea Machafuko

    CDM wakitekwa unafurahi..lakini unabubujikwa na machozi kwa wapalestina
  6. Leonard Robert

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu digrii ya Mwijaku

    UDSM alisoma nilimuona anasoma pale miaka ya 2012
  7. Leonard Robert

    JamiiForums Tanzania Simba wataenda uwanja gani kupata point 3 hiyo tarehe 15?

    Endelea kujidanganya
  8. Leonard Robert

    JamiiForums Tanzania SI KWELI TFF yavunja bodi ya ligi na kuteua bodi ya mpito

    Huu upuuzi wamekanusha
  9. Leonard Robert

    JamiiForums Tanzania Ushindi wa makandokando kubebwa kulazimisha na ulaghai wala haunogi, Ninashauri Simba tuache janja janja tujenge timu

    Tunacheza fainali..waambie yanga wajenge timu sio sisi simba
Back
Top Bottom