Recent content by Leonard Robert

  1. Leonard Robert

    GE2025 Siasa za Bukoba Mjini Kati ya Lwakatare na Kagasheki ilikuwa hatari sana ile ligi!

    Lwakatale enkangabuye..alikuwa anajua kutumia mdomo... Pia kuna ligi ya akina prof kinyondo miaka ya nyuma pale bukoba vijini
  2. Leonard Robert

    Ukweli kuhusu digrii ya Mwijaku

    UDSM alisoma nilimuona anasoma pale miaka ya 2012
  3. Leonard Robert

    Vipaji 20 bora vya muda wote kwenye muziki wa Tanzania

    Capten komba azima awepo kwenye list upende usipende
  4. Leonard Robert

    Manunuzi ya umeme wa Ethiopia ni wizi tusiwe wajinga!

    Sawa.. vipi tatizo la kupotea Kwa umeme kutokana na njia kuwa ndefu litapungua vipi ukilinganisha na umeme wa Tanzania
  5. Leonard Robert

    Sakata la Mechi ya YangaSc vs Simba, Kigogo Mmoja abwaga Manyanga bodi ya ligi kuu

    Mjumbe mmoja ana kura moja tu..waache waliobaki wafanye kazi
Back
Top Bottom