Kila lenye mwanzo lina mwisho wake. RUGE you can fool some people sometimes,but you can't fool all the people all the time.
Wakati sasa umewadia,watu wamezinduka.
Kupishana umri kiasi hicho si mbaya sana,kwanza yeye ni mtu mzima na wewe pia. La msingi kinachotakiwa uwe fiti kila wakati ili uweze kwenda naye sambamba katika maisha yenu. Kwangu mimi naona upo sahihi,haujakosea kitu,kwani kuna watu wengine wamepisha zaidi ya miaka 30,sembuse wewe na huyo...
Huo uchumba unaosema wewe ni kwamba mmeambiana wenyewe wawili na haufahamiki kwa wengine. UCHUMBA RASMI ni lazima ukajitambulishe kwa wazazi wake na wakutambue na ndipo ulipie MAHALI.
Kitendo cha wewe kutojitambulisha kwa wazazi na huku mmepanga Kuoana siku zijazo ni kosa. Kwa hiyo hapo ndugu...
Ni kweli kwa nini JK aumie kichwa kwa ajili ya kumteua WAZIRI MKUU MPYA,Pinda yupo. Kitendo cha kuteua waziri mkuu mpya ni kuliingiza TAIFA katika hasara ya kuwahudumia Mawaziri wakuu wengi
Haiingii akilini kusema huu sio muda wa mabadiliko ya kweli.Na huu siyo muda wa kupelekwa darasani au ushikwe mkono ulazimishwe kufanya mabadiliko ya kweli.TUWAMWAGE SISIEM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.